Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 87
Hivi Karibuni Serikali ilipata Pesa toka benki ya Dunia kwa ajili ya Kuboresha vyuo vikuu mbalimbali Nchini Tanzania, Lakini hata hivyo pesa zimepelekwa kwenye Vyuo vya Umma tuu, Yaani vyuo vya serikali, yaani, Chuo Kikuu cha Ardhi,Chuo Kikuu cha Dar-Es-Saam (UDSM), Chuo Kikuu huria Cha Tanzania,(OUT) Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) lakini kwa mujibu wa Mmoja wa wajumbe katika tume ya Vyuo vikuu Tanzania (TCU) Ambaye ni Askofu Na Mkuu wa Chuo Kikuu cha St Augustine university amesema kuwa pesa hizo ni Mkopo toka Benki ya Dunia hivyo ni Bora zigawanywe sawa na Vyuo Binafsi.
Je, wadau hivi ni sawa au vipi maana ukitazama kwenye vyuo ambavyo zimesajiliwa Tanzania ni kama 32 hivi, Je pesa hivi ni sawa wapewa watu wanaosoma kwenye vyuo vya umma tu??
Je, hivi vyuo vya binafsi zinatoa huduma kwa wakina nani?? tuomba Waziri wa elimu wa Juu asema kuwa ana maana gani kutoa pesa kwenye vyuo vikuu vya umma wakati huo watu wote wanalipa pesa hizo?? je watu kama wanasoma Tumaini, Ruaha, Mwenge wafanye nini?? Je Huu sio uonevu kwa watu kama hawa, je kama kuboresha Mazingira katika Vyuo vyetu basi ni Kote maana watu wanatoak Huduma kwa Watanzania, jamani naombeni Majibu.
Elimu wa Wote Bila Ubaguzi
Je, wadau hivi ni sawa au vipi maana ukitazama kwenye vyuo ambavyo zimesajiliwa Tanzania ni kama 32 hivi, Je pesa hivi ni sawa wapewa watu wanaosoma kwenye vyuo vya umma tu??
Je, hivi vyuo vya binafsi zinatoa huduma kwa wakina nani?? tuomba Waziri wa elimu wa Juu asema kuwa ana maana gani kutoa pesa kwenye vyuo vikuu vya umma wakati huo watu wote wanalipa pesa hizo?? je watu kama wanasoma Tumaini, Ruaha, Mwenge wafanye nini?? Je Huu sio uonevu kwa watu kama hawa, je kama kuboresha Mazingira katika Vyuo vyetu basi ni Kote maana watu wanatoak Huduma kwa Watanzania, jamani naombeni Majibu.
Elimu wa Wote Bila Ubaguzi