Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Habari za wakati huu tena Dada na Kaka zangu, ni jioni nyingine tena ya siku ya Jumapili ya tarehe 20/06/2021 ambayo mimi Binafsi ni mzima Afya natumaini pia hata nyinyi mko salama.
Acha niende kwenye maada moja kwa moja..! Kuna wizi wa vifaa vya magari na magari yenyewe umeshamiri sana Hapa mjini na sehemu zingine. Vifaa ambavyo mara nyingi sana huibiwa ni Betri za Magari na vingine vingi tu. Kitu cha kujiuliza hapa chap chap, ni wapi hivi vifaa huuzwa ? Kwa watumiaji wa magari au Wauzaji wa vifaa vilivyotumika vya magari ambayo hii inaweza kuwa na 90% ya soko la vifaa hivyo.
Je Mamlaka zinazohusiana na usalama wa Raia na Mali zao zina shughulika vipi na hili suala la uuzaji wa vifaa used vya magari kwenye maduka ambalo ndio soko kubwa la bifaa vilivyoibiwa ??
Nina picha na video za watu wameibiwa gari na kuikuta imesambartishwa wamebakiza plate number na body tu mengine waneondoa..! Huku nikurudishana nyuma kimaendeleo
TUKIACHANA NA HIZI PICHA; KUNA VIDEO AMBAYO VIBAKA WAMEINGIA KWA KWA MTU KURUKA GETI NA KUWAUA MBWA WANAOLINDA PALE NA KUIBA ESSENTIALS ZA GARI..! VIDEO IMZEINGUA KUPAKILIWA.
Ila kwa ufupi hii sihu serikali inashughulikia vipi ??
Acha niende kwenye maada moja kwa moja..! Kuna wizi wa vifaa vya magari na magari yenyewe umeshamiri sana Hapa mjini na sehemu zingine. Vifaa ambavyo mara nyingi sana huibiwa ni Betri za Magari na vingine vingi tu. Kitu cha kujiuliza hapa chap chap, ni wapi hivi vifaa huuzwa ? Kwa watumiaji wa magari au Wauzaji wa vifaa vilivyotumika vya magari ambayo hii inaweza kuwa na 90% ya soko la vifaa hivyo.
Je Mamlaka zinazohusiana na usalama wa Raia na Mali zao zina shughulika vipi na hili suala la uuzaji wa vifaa used vya magari kwenye maduka ambalo ndio soko kubwa la bifaa vilivyoibiwa ??
Nina picha na video za watu wameibiwa gari na kuikuta imesambartishwa wamebakiza plate number na body tu mengine waneondoa..! Huku nikurudishana nyuma kimaendeleo
TUKIACHANA NA HIZI PICHA; KUNA VIDEO AMBAYO VIBAKA WAMEINGIA KWA KWA MTU KURUKA GETI NA KUWAUA MBWA WANAOLINDA PALE NA KUIBA ESSENTIALS ZA GARI..! VIDEO IMZEINGUA KUPAKILIWA.
Ila kwa ufupi hii sihu serikali inashughulikia vipi ??