Serikali Inafanya Tathimini ya Uwezekano wa Kupanga Bei Moja ya Bidhaa za Petroli Nchi Nzima

Serikali Inafanya Tathimini ya Uwezekano wa Kupanga Bei Moja ya Bidhaa za Petroli Nchi Nzima

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

SERIKALI INAFANYA TATHMINI YA UWEZEKANO WA KUPANGA BEI MOJA YA BIDHAA ZA PETROLI NCHI NZIMA

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema Serikali kupitia EWURA inafanya tathmini ya uwezekano wa kupanga bei moja ya bidhaa za petroli nchi nzima.

Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Aprili 3,2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali namba 22 la Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo aliyetaka kujua Serikali ina mpango gani wa kuweka utaratibu ili bei ya mafuta ya Dizeli na Petroli iwe moja kwa nchi nzima.

Mhe. Kapinga amesema kuwa utaratibu huo ambao ulikuwa unatumika miaka ya nyuma ulikwama kutokana na changamoto mbalimbali ambazo zilijitokeza kipindi hicho hivyo Serikali iliwaruhusu wafanyabiashara wa mafuta kupanga bei ya mafuta kulingana na soko
 

Attachments

  • FN5L-LdXIAUTlsUNBVCFTRE.jpg
    FN5L-LdXIAUTlsUNBVCFTRE.jpg
    71.9 KB · Views: 8
Back
Top Bottom