#COVID19 Serikali inajinasua gharama za Chanjo ya UVIKO-19 kupitia Askofu Gwajima?

Mkuu kuna ka ukweli flani hivi, pia dalali wa chanjo kapewa kesi ya ugaidi, madalali wakubwa kila siku wapo mahakamani, hawaogopi mkwara wa Madam Mulamula!
 
Mkuu mameberu ndio unatakiwa kuishi nao hivi kwa kutaimiana! 😂 Wao walijifanya werevu sana kwa kuleta hili gonjwa na kulazimisha mataifa mengine kufuata ushauri wao jinsi ya kukabiliana nalo ama sivyo wanakutenga. Nafikiri mama machale yalimcheza akaamua kuleta chanjo kidogo halafu akasema kuchanja ni hiari!
 
Nadhani hata Mama ameshamkubali Mheshimiwa Gwaji Boy!
Nahisi mama machale yalimcheza tangu zamani ila alikuwa anawafanyia kiini macho mabeberu kwasababu walikuwa wanatishia kuitenga Tanzania. Chanjo zilizo agizwa nafikiri ni milioni moja ilhali sisi tuko kwenye milioni 60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…