Serikali inakusanya Tshs. trilioni 211.2 kwa mwaka? Kama ni kweli basi neema yaja

Huyo trillion 17 ni kwa mwaka sio mwezi. Ila sikulaumu kwa kuwa hujui kusoma
Duuh!! Naona hakuelewa, kama ingekuwa hivo basi tungeweza kulipa deni la Taifa na kutekeleza miradi yote mikubwa kwa fedha za ndani bila kutegemea misaada na mikopo toka kwa wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…