Duuh!! Naona hakuelewa, kama ingekuwa hivo basi tungeweza kulipa deni la Taifa na kutekeleza miradi yote mikubwa kwa fedha za ndani bila kutegemea misaada na mikopo toka kwa wazungu.Huyo trillion 17 ni kwa mwaka sio mwezi. Ila sikulaumu kwa kuwa hujui kusoma
wamekosea kwa sasa wastani wa makusanyo kwa mwezi ni trillion 1.7ATE waedit hili chapisho
Monthly average ya Trillion 17? From where?
hilo neno 'monthly average' ndo mchawi
Thats Annual Revenue I suppose
πππNa balozi hamisa akianza kazi rasmi kutuhamasisha nchi itakusanya tilion 50 kwa mwezi
Jamaa yuko sahihi. Wewe ndio hujui kusoma.Huyo trillion 17 ni kwa mwaka sio mwezi. Ila sikulaumu kwa kuwa hujui kusoma
Hao ndio wachambuzi wetu wa masuala ya kodi na makusanyo. Wanautwa Analysts.ATE waedit hili chapisho
Monthly average ya Trillion 17?..
from where?.
hilo neno 'monthly average' ndo mchawi
Thats Annual Revenue i suppose