Serikali inakusanyaje kodi katika zile mashine za Kichina za kamali?

Serikali inakusanyaje kodi katika zile mashine za Kichina za kamali?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau kuna hizi machine za kamali za wachina zimetapakaa kila Kona ya mijinI hadi vijijini na wenyewe utawakuta na harrier na Krueger wanakusanya hela.

Je, hizi mashine Serikali wanapataje mapato yao na zinaingizwaje nchini na zina usimamizi gani wa Serikali maana hawa jamaa wanapata hela sana.

Je, kuna marejesho Serikalini wanfanya au mradi wa mtu maana yake naona watu wapo kimya kabisa, hebu tuangalie hili tulisemee kuna harufu moja nzito kwenye hili.
 
Hizo zina fixed rate kulingana location.
 
Back
Top Bottom