Pre GE2025 Serikali inapaswa kuchukua hatua madhubuti kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kajangwa

New Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Mambo vipi wadau?

Kwa jinsi hali ilivyo ya mambo na matukio tunayoendelea kushuhudia hivi katika jamii ni dhahiri kuwa serikali inapaswa kuchukua hatua na tahadhari kubwa kuelekea Uchaguzi wa 2025 la sivyo tunaweza kushuhudia uvunjivu wa amani ambao hatujawahi kuhushuhudia hapo kabla.

Najaribu kuwaza kwa sauti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…