Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Miongoni mwa wilaya zenye idadi kubwa ya kata hapa nchini Tanzania ni wilaya ya kilosa. Wilaya ya Kilosa ina jumla ya kata 38 mara baada ya kugawanywa kidogo na kuzaa wilaya ya gairo yenye kata 8.
Kata za Wilaya ya Kilosa - Mkoa wa Morogoro - Tanzania ni
Berega | Chanzuru | Dumila | Kasiki | Kidete | Kidodi | Kilangali | Kimamba A | Kimamba B | Kisanga | Kitete | Lumbiji | Lumuma | Mabula | Mabwerebwere | Madoto | Magole | Magomeni | Magubike | Maguha | Malolo | Mamboya | Masanze | Mbigiri | Mbumi | Mhenda | Mikumi | Mkwatani | Msowero | Mtumbatu | Mvumi | Parakuyo | Ruaha | Rudewa | Ruhembe | Tindiga | Ulaya | Uleling`ombe | Vidunda | Zombo |
Wilaya ya kilosa eneo linalokadiriwa kuwa kilometa za mraba 11773 ikiwa ni zaidi ya mara 8 ya ukubwa wa eneo la mkoa wa Dar-es-Salaam.
Kiuendeshaji na kiutawala ni ngumu sana kwa wilaya kama hii kupata maendeleo ya haraka kutokana na ukubwa wa eneo lake.
Wito wangu kwa serikali ni kuwa iigawe tena hii wilaya katika wilaya nyingine 2 ...Ipatikane Wilaya ya Dumila na wilaya ya Mikumi. Ili kurahisisha masuala mazima ya kiutawala na maendeleo kwa ujumla.
Ni hayo tu.
Kata za Wilaya ya Kilosa - Mkoa wa Morogoro - Tanzania ni
Berega | Chanzuru | Dumila | Kasiki | Kidete | Kidodi | Kilangali | Kimamba A | Kimamba B | Kisanga | Kitete | Lumbiji | Lumuma | Mabula | Mabwerebwere | Madoto | Magole | Magomeni | Magubike | Maguha | Malolo | Mamboya | Masanze | Mbigiri | Mbumi | Mhenda | Mikumi | Mkwatani | Msowero | Mtumbatu | Mvumi | Parakuyo | Ruaha | Rudewa | Ruhembe | Tindiga | Ulaya | Uleling`ombe | Vidunda | Zombo |
Wilaya ya kilosa eneo linalokadiriwa kuwa kilometa za mraba 11773 ikiwa ni zaidi ya mara 8 ya ukubwa wa eneo la mkoa wa Dar-es-Salaam.
Kiuendeshaji na kiutawala ni ngumu sana kwa wilaya kama hii kupata maendeleo ya haraka kutokana na ukubwa wa eneo lake.
Wito wangu kwa serikali ni kuwa iigawe tena hii wilaya katika wilaya nyingine 2 ...Ipatikane Wilaya ya Dumila na wilaya ya Mikumi. Ili kurahisisha masuala mazima ya kiutawala na maendeleo kwa ujumla.
Ni hayo tu.