Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Nimestuka kidogo nilipokwenda kibaha kutembea kwa ndugu yangu, kitu ambacho kimenishangaza kumezagaa vimashine vya kucheza kamali sijapata ona.
Yaaan kila kwenye frem tatu lazima kiwepo, harafu hakina usimamiz maalum, yaaan watot wanacheza nje nje kwa mtaji wa shilling 200/=. Serikali angalieni hili jambo jamani, watoto hawasomi kabisa
Yaaan kila kwenye frem tatu lazima kiwepo, harafu hakina usimamiz maalum, yaaan watot wanacheza nje nje kwa mtaji wa shilling 200/=. Serikali angalieni hili jambo jamani, watoto hawasomi kabisa