Serikali inapopendelea maeneo yaliyokipigia kura chama kinachounda Serikali: Ubaguzi huu ni sawa na ule wa Watusi na Wahutu!

Serikali inapopendelea maeneo yaliyokipigia kura chama kinachounda Serikali: Ubaguzi huu ni sawa na ule wa Watusi na Wahutu!

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Ukweli lazima tuuseme ili tuinusuru nchi yetu isiwe kama Rwanda na Burundi ama hata South Africa zilivyokuwa siku za huko nyuma. Tutakuwa tumeirudisha nchi yetu miaka 60 nyuma!

Uhasama mkubwa na wa kutisha uliokuwepo kati ya Watusi na Wahutu katika nchi za Rwanda na Burundi ulijikita katika misingi ya "umimi".

Halikadhalika South Africa, Makaburu waliwakandamiza Waafrika weusi kwa hiyo hiyo misingi ya "umimi".

Mlio karibu na mwenyekiti wa chama chetu CCM, mpitisheni kwenye hiyo horrible and terrifying memory lane.

Tafadhali tafadhali tafadhali na Mungu atawabariki sana.
 
Genocide ya 1994 Ubelgiji hakuwa nyuma,

Naona awamu hii tuna mgombea toka Ubelgiji.

Tuachieni na amani yetu.
 
Genocide ya 1994 Ubelgiji hakuwa nyuma,

Naona awamu hii tuna mgombea toka Ubelgiji.

Tuachieni na amani yetu.
Kwani ubelgiji ndo wamesema hawatapeleka maendeleo maeneo ya upinzani????

Huyu ni mbelgiji????
ECF9AC5B-9B3E-4DDC-8774-E84EA5B15A55.jpeg
 
Ukweli lazima tuuseme ili tuinusuru nchi yetu isiwe kama Rwanda na Burundi ama hata South Africa zilivyokuwa siku za huko nyuma. Tutakuwa tumeirudisha nchi yetu miaka 60 nyuma!

Uhasama mkubwa na wa kutisha uliokuwepo kati ya Watusi na Wahutu katika nchi za Rwanda na Burundi ulijikita katika misingi ya "umimi".

Halikadhalika South Africa.... Makaburu waliwakandamiza Waafrika weusi kwa hiyo hiyo misingi ya "umimi".

Mlio karibu na mwenyekiti wa chama chetu CCM, mpitisheni kwenye hiyo horrible and terrifying memory lane.

Tafadhali tafadhali tafadhali na Mungu atawabariki sana.
Yes hii ni simple tu ....'Discrimination based on the political affiliation or alignment ' ..
 
Back
Top Bottom