Kwa udhibiti huu wa Internet, mapato kwa makampuni ya simu yatashuka sana, hivyo kiasi cha kodi kushuka pia. Kwa sasa mobile companies wanauza sana data kuliko voice. So kwa kuwa siku hizi huwezi download chochote, wala huwezi angalia Online TV, pamoja na movies bundle halitumiki isipokuwa mpaka hayo ma-VPN sijui
Kimsingi watanzania wanasave, ila pia mapato ya Serikali yatapungua pia kwa sababu mauzo ya bundles yatashuka.
Nadhani kuna wanaoanza kuangalia uwezekano wa kulipia hizo VPN, hivyo mapato yatakwenda nje ya Nchi.
Naomba muendelee nilipoishia.
Kimsingi watanzania wanasave, ila pia mapato ya Serikali yatapungua pia kwa sababu mauzo ya bundles yatashuka.
Nadhani kuna wanaoanza kuangalia uwezekano wa kulipia hizo VPN, hivyo mapato yatakwenda nje ya Nchi.
Naomba muendelee nilipoishia.