Black Butterfly
Senior Member
- Aug 31, 2022
- 130
- 368
Jamani ukifatilia ripoti za CAG pamoja na kuweka wazi wahusika wa upotevu mkubwa wa fedha za Umma lakini Serikali imekuwa haichukui hatua kali dhidi yao na ndio sababu matukio ya upigaji yanajirudia
Mara zote CAG na Bunge wamependekeza hatua za kuchukua lakini Serikali haiwawajibishi wanaotajwa kuhujumu fedha huku ikiendelea kuwaumiza wananchi kwa Kodi zisizoeleweka kila wakati
Sasa kuna umuhimu gani Serikali kutangaza taarifa za ubadhirifu bila kuwaadhibu wanaofisadi Miradi na Fedha za Walipa Kodi? Je, Serikali ina uhusiano nao na inawatuma?
Kwa nini Serikali haitoi Adhabu kali kwa wanaohujumu Fedha za Umma kwenye Ripoti za CAG? Je, inahusika na ubadhirifu huo?
Mara zote CAG na Bunge wamependekeza hatua za kuchukua lakini Serikali haiwawajibishi wanaotajwa kuhujumu fedha huku ikiendelea kuwaumiza wananchi kwa Kodi zisizoeleweka kila wakati
Sasa kuna umuhimu gani Serikali kutangaza taarifa za ubadhirifu bila kuwaadhibu wanaofisadi Miradi na Fedha za Walipa Kodi? Je, Serikali ina uhusiano nao na inawatuma?
Kwa nini Serikali haitoi Adhabu kali kwa wanaohujumu Fedha za Umma kwenye Ripoti za CAG? Je, inahusika na ubadhirifu huo?