Serikali inasema kilimo na ufugaji ni muhimu nchini lakini effort yao haipo

Serikali inasema kilimo na ufugaji ni muhimu nchini lakini effort yao haipo

Dogo chaka

Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
7
Reaction score
6
Ukiangalia sector ya kilimo na ufugaji hutupatia fedha nyingi na ajira nchini lakini serikali haiweki macho katika nyanja za mwanzo na zenue kuleta wataalam katika sector hizi.

Ukiangalia katika ufugaji na vyuo vyao majengo ni ya mwaka 1950 na ni maeneo wanayotakiwa kusomea maafisa wakuja kuleta maendeleo katika mazingira yetu ya mtaani na mashambani lakini kuna vyuo kama CBE au MIPANGO vinapewa vipaumbele na kuboreshwa kila leo .

Serikali inahitajika kutupia macho katika vyuo kama hivi vya mifugo na ukulima ili kuwa na wataalam katika maswala haya ya kilimo na ufugaji

Huo ni mfano wa darasa la wataalam wa mifugoo.
 

Attachments

  • IMG_20241124_120339.jpg
    IMG_20241124_120339.jpg
    426.5 KB · Views: 7
Vijana wapambane waende nje wajifunze technology ya kuboresha kilimo
Nani wa kiwaunga mkono ili waende nje ya nchi wakati serikali inawaangalia wanaosomea maendeleo ya jamii pekee bila kuangalia mizizi ya uchumi wetu
 
Nani wa kiwaunga mkono ili waende nje ya nchi wakati serikali inawaangalia wanaosomea maendeleo ya jamii pekee bila kuangalia mizizi ya uchumi wetu
Nimekumbuka jamaa yangu mmoja anasema amesomea maendeleo ya jamii alafu yeye hana maendeleo
 
Back
Top Bottom