Serikali inatia aibu

Nsaji Mpoki

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2007
Posts
396
Reaction score
68
Serikali inatia aibu. Mizani moja kibaha ni mbovu. Malori yameziba njia toka asubuhi hakuna kuingia wala kutoka dar. Kichekesho ni kwamba kuna askari wa usalama barabarani wengi lakini wote wamesima wanaangalia tu. Hakuna anaye ajali. Tumejaribu kumpata magufuli kazima simu. Nchimbi naye kazima simu. Tunakwenda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…