mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Serikali inatumia Kodi zetu kiholela sana,
Nimetembea Mikoa mbalimbali hapa nchini Sasa humo wilayani kuna kuogopesha kwa uwepo wa magari waliyoyabatiza Kwa jina la magari mabovu (chakavu),
Lakini kiuharisia naona sio jina sahihi maana Kwa gharama za service sio kubwa kama gharama gari la 400+ unaweza yakaranati hata gari 20+,
Ukiwauliza baadhi ya madereva wanakutajia mengi ya magari ni uharibifu mdogo mdogo lkn lipo juu ya mawe.
Nawasilisha.
Nimetembea Mikoa mbalimbali hapa nchini Sasa humo wilayani kuna kuogopesha kwa uwepo wa magari waliyoyabatiza Kwa jina la magari mabovu (chakavu),
Lakini kiuharisia naona sio jina sahihi maana Kwa gharama za service sio kubwa kama gharama gari la 400+ unaweza yakaranati hata gari 20+,
Ukiwauliza baadhi ya madereva wanakutajia mengi ya magari ni uharibifu mdogo mdogo lkn lipo juu ya mawe.
Nawasilisha.