Natakakutulia
Member
- Jan 20, 2020
- 59
- 390
Serikali ya CCM inayoongozwa na Raisi Samia haiwezi kufikiria cha kufanya angalau kupunguza uchungu anaopitia mwananchi kwa sasa wa kupanda kwa bidhaa karibu zote nchini.
Serikali hii inachowaza ni kupata pesa ili wao waendelee kunufaika ndii maana wamelundika tozo na kodi za kila aina, zingine hadi unazilipa mara mbili au 3 zikiwa na majina tofauti, yaani tozo kodi na ushuru kwenye kitu kimoja.
Ingekuwa wanaguswq nq mqisha ya mtanzania wangeondoa tozo kwenye miamala, wqngeshusha kodi kwenye bidhaa muhimu, wangeondoa tozo ya takataka mpaka uchumi wa dunia ukae sawa ili angalau mtanzania aweze kumudu maisha.
Lakini leo unamwambia Mfanyabiashara ashushe bei huku wewe hushushi kodi inawezekana? Na wakati huohuo Rais alishawaambia kuwa bei zitapanda na kupanda hivyo wanapandisha maana tayari walishapewa kibali cha kupandisha.
Maisha yamekuwa magumu sana na wao hawaoni uchungu maana walipwa posho na kununuliwa kila kitu hivyo hawajui mtu unavyoumia kuoandishiwa au kuingezewa gharama yoyite kwenye maisha.
Serikali hii inachowaza ni kupata pesa ili wao waendelee kunufaika ndii maana wamelundika tozo na kodi za kila aina, zingine hadi unazilipa mara mbili au 3 zikiwa na majina tofauti, yaani tozo kodi na ushuru kwenye kitu kimoja.
Ingekuwa wanaguswq nq mqisha ya mtanzania wangeondoa tozo kwenye miamala, wqngeshusha kodi kwenye bidhaa muhimu, wangeondoa tozo ya takataka mpaka uchumi wa dunia ukae sawa ili angalau mtanzania aweze kumudu maisha.
Lakini leo unamwambia Mfanyabiashara ashushe bei huku wewe hushushi kodi inawezekana? Na wakati huohuo Rais alishawaambia kuwa bei zitapanda na kupanda hivyo wanapandisha maana tayari walishapewa kibali cha kupandisha.
Maisha yamekuwa magumu sana na wao hawaoni uchungu maana walipwa posho na kununuliwa kila kitu hivyo hawajui mtu unavyoumia kuoandishiwa au kuingezewa gharama yoyite kwenye maisha.