Serikali ingekuwa huundwa Mtandaoni, basi Mpaka sasa Tanzania ipo Mikononi mwa wanaCHADEMA

Serikali ingekuwa huundwa Mtandaoni, basi Mpaka sasa Tanzania ipo Mikononi mwa wanaCHADEMA

Best Daddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
950
Reaction score
1,672
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
 
"Vyama 19 bara la afrika vya Ukombozi, vyama 13 vimeshaondoka. Vimeondolewa baada ya vyama vyenyewe kujitafuna na kuwa na mpasuko na vyama vya upinzani vikachukua advantage....Ili chama Tawala kife, kinatakiwa kipasuke kwanza..." Benard Membe 19/10/2020
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
Uongo wa kutumwa na ccm huu ukweli ni kwamba CCM imekwisha na inatumia mabilioni kulipa watu wafike kwenye mikutano yao, CDM hoyeeeeeeee!
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
Una watoto na wanaamini wana mzazi? Bora uwakabidhi Kituo cha kulelea yatima .
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
Mwenyewe una ID fake
 
Umezungumza ukweli mtupu huku mtaani wananchi wanaona tarehe 28th October ni mbali maana wamekamia kumrudisha mtu Brussels.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mitandao huwa ina wahadaa wanaishia kusema wameibiwa kura
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
Kelele za mitandao kumgoa Magufuli na serikali yake haiwezi kumgoa hata panya.
Wapiga kelele sio wachezeshaji wa mchezo.
Makamisaa na mareferee wa mchezo wanawajibika na wanatokea timu ya Seth Benjamin.
Tulichokuwa tunawambia kutoka 1995 hadi leo 2020.Hakuna fair play.Na mwaka huu ni kipigo kikubwa zaidi.
Dawa yake ni Katiba ya Warioba.
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
CCM haipo. Ilishakufa.

Kilichobakia ni Dola.

Hao kina Mbowe, Lissu, Seif na Zitto wanapambana na Dola tu.
 
"Ipo nadharia kwamba Vyama vikiungana vinaweza kushinda. Lakini katika bala la Africa, nadhalia hii haijawahi kufanikiwa.

Madikiteta wote wameangushwa na vyama binafsi. Afrika chama kimoja ndo huwa kinashinda sio vilivyoungana" .
Bernard Membe. 19/10/2020.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Kwahiyo!??
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
 
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!

Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
Mkuu umeongea vizuri sana ingawa watakupinga na kufarijiana kuwa wako sahihi. Baada ya Oktoba 28 na matokeo kutangazwa watarudi na hoja ya "kuibiwa kura" halafu wataungana mkono kisha wataanza kututisha na uchaguzi wa 2025! Ahahahahajaj!
 
Aise, Id feck, picha feck na wansohudhuria mikutano ya lisu feck ila anayefanya mkutano mmoja kwa siku then garage siku Saba huyo NI og?
 

Wacha kujitoa ufahamu! Unadhani kwanini maccm yanahofia tume huru? Mtandaoni watu wako huru ndiyo sababu Chadema inapeta na kungekuwepo na Tume huru maccm yangeshapotezwa zamani sana lakini yanategemea wizi kupitia polisiccm na tumeccm ili kung’ang’ania madarakani.
Nitawajulia hali zenu baada ya uchaguzi!


Niende moja kwa moja kwenye mada husika!

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA WATU na sio vitu ni chama pekee kilichoweza kujipambanua na kutawala kwenye social networks|social media na digital platform karibu zote nchini Tanzania.

Actually, Naweza sema endapo upo nje ya Tanzania na unafuatilia siasa ya bongo basi lazima Chadema uwape 100% ya kushinda uchaguzi huu kutokana na followers,supporters wake waliopo huku mtandaoni!

Sasa basi, Mtandaoni ikiwa asilimia kubwa "hawatumii majina yao kamili na picha zao kamili", basi wakiamua jambo either la uzushi au hata kama wataplan kulifanya basi kwa mtandaoni litapokelewa na kusambazwa mtandaoni ipasavyo!

Mfano: Huko twitter basi utasikia tuone nani anapendwa zaidi kati ya Lissu na Magufuli.

Retweet: Lissu.
Like: Magufuli

Kwa kawaida mtu anaweza retweet zaidi ya mara moja, hii ipo kinyume na like ambayo ni mara moja tu kwa mtu mmoja!
Hii kusema mtu mmoja wa kuretweet anaweza simama na watu wanao like zaidi100.

Hivyo basi,watu kumi tu wanaweza retweet wawezavyo na kumpa ushindi mtandaoni Lissu, sasa hapa kama hujui uhalisia lazima utatambua Lissu anapendwa kupita maelezo.

Nini kinafanya CHADEMA waitawale mitandao ya kijamii?

Kwa kuwa mitandao ya kijamii ipo for fun kwa watanzania wengi, basi watu hutumia kufanya kejeli, kuchafua watu kuliko kuwasafisha, kuponda kuliko kusifia mazuri , kuchekesha watu na hata kutukana watu basi ndio hapo CHADEMA hupata followers mtandaoni with ' fake ID' kuanzia jina na display picture zao kwa kuwa CHADEMA kama chama wanasifa zote tajwa hapo juu kuliko CCM.

Sasa zima data kwenye simu yako/Laptop yako, rudi mtaani ambapo serikali huundwa utashangaa.

-Yule anayejiita Chade, dema , na majina mengi ya ajabu mtandaoni, akirudi mtaani ni Mwanachama mzuri na suppoters wa magufuli mzuri kabisa. Nimekuja kutambua chadema asilimia kubwa wanasapportiana na "fake Ids" tu huku wakichekana huyu anasema huyu boya kweli, na yule anasema huyu boya kweli..Wote wakitaka kudumisha "Fun" iliyopo katika social media.

Ushauri, Zimeni data kidogo..Njooni mtaani ambapo serikali imeundwa, Hakika CHADEMA imeshakufa siku nyingi , kuanzia serikali za mitaa hadi ngazi ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom