Serikali iongeze ulinzi kwenye maghala ya MSD, iweke sawa record ya ARV's. Kuna watu vichwa ngumu wanaweza kujizolea ili wakapige pesa siku za machoni

Serikali iongeze ulinzi kwenye maghala ya MSD, iweke sawa record ya ARV's. Kuna watu vichwa ngumu wanaweza kujizolea ili wakapige pesa siku za machoni

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sasa ARV's zinakwenda kuwa big deal, wachuuzi wadogo hawatazipata tena. Hofu yangu ni kwamba kwenye maghala ya dawa ya MSD watu wanaweza kujizolea na kuzificha ili wakatajirike siku za machoni.

Ulinzi uongezwe. JWTZ walinde maghala ya dawa kwenye kipindi hichi cha mpito, vijana wa SUMA JKT ambao ndio walinzi kwenye haya maghala yetu wanalipwa laki mbili , ni kama pesa ya dagaa tu. Wakipewa laki 1 mtu anaondoka na makatoni ya ARV's kiulaini huku wao wakikenua macho.
 
Back
Top Bottom