chief kamchicha
Member
- Jan 22, 2014
- 33
- 83
Ukatili dhidi ya Mtoto wa kike huwakatisha tamaa maelfu ya mabinti kuzifikia ndoto zao. Eneo la vyuo vikuu ni sehemu hatari zaidi ambako bado hakujatiliwa mkazo unaostahiri.
Serikali ipeleke dawati la jinsia kwa vyuo vyote ili kumsaidia Mtoto wa kike, kwa hali ya sasa anayehusika na kesi zote ni Dean of Students ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza wasiwe fair katika kushughurikia kesi zinazohusu unyanyasaji wa mabinti wetu.
Serikali ipeleke dawati la jinsia kwa vyuo vyote ili kumsaidia Mtoto wa kike, kwa hali ya sasa anayehusika na kesi zote ni Dean of Students ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza wasiwe fair katika kushughurikia kesi zinazohusu unyanyasaji wa mabinti wetu.