Serikali ipige marufuku haraka wakimbizi wa congo wanaoingia nchini kupitia birun.

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Kuna idadi kubwa ya wakimbizi wa congo nchini Burundi nao wanasema malengo yao ni kufika Tanzania kwenye kisiwa cha amani.

Ukweli ni kuwa jamii ya watu wa ngara inavinasaba na ile ya Rwanda ya watutsi hapa kunaundwa vurugu kubwa siku za usoni ni hatari kwa vizazi vijavyo maana hata leo bado jamii hii ya watutsi ngara ,biharamulo, Muleba, geita, katoro, kyerwa,Karagwe ,mwanza na kanda nzima ya ziwa ni kero ,hakuna kazi kubwa kama kuishi na mtutsi ni wabaguzi sio mchezo.

kama hawa wacongo tayari wanavuka mto ruzizi na kuingia Burundi hukuwakisema lengo lao ni kwenda Tanzania na wengi kuishia kagera hapa lipo tatizo.

Tunaiomba serkali ipige marufuku hawa watu na ulinzi uimarishwe mipakani kote

USSR
 
Vita ya congo kuna siku itakaribisha uganda na tanzania huku mc wa harusi ni rwanda
 
Kwa maelezo yako unasema kuishi na Watutsi ni kazi sana maana ni wabaguzi na wamejazana nchini lakini wakaati huohuo unaomba serikali iwazuie wakimbizi wa Congo kuingia nchini!!! Kama shida ni Watutsi kwanini usiombe seeikali iwaondoe hao Watutsi ambao nchi zao (Burundi na Rwanda) zina amani? Wacongo wanakimbilia nchini kwasababu za kiusalama na watafikia kwenye makambi ya wakimbizi lakini hao Watutsi unaodai wamejazana wako mitaani tu wanatamba ilihali si wakimbizi!
 
Why?!, kwanini uwazuie?。 Hujui wana akili sana?。 Hujui hata yule naniliu alikuwa wa jirani!,uliona makubwa aliyofanya?,waacheni waje watusaidie, maana kiukweli kabisa kuna vitu sisi wenyewe hatuwezi!,
P
 

Bwana P, sio kuna vitu, sema tu chini ya CCM hakuna jambo linaweza kufanyika kwa ufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…