bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Wanajamii mambo sio mambo, leo nitawapasha habari juu ya sumu ya kuulia magugu Atrazine.
Hii sumu inatumiwa sana na wakulima katika kuua magugu katika mashamba makubwa ya mazao mbalimbali: miwa, mahindi. Sasa kwa nini hii sumu ni Nongwa?
Mwaka 2010, Dr. Tyrone Hayes alifanya utafiti kwa Vyura waliokuwa wana ishi ndani ya maji yenye hii sumu kwa kiwango kidogo kinachoruhusiwa na mamlaka za maji safi huko nchini Marekani, na kubaini ya kwamba vyura wa kiume walibadilishwa jinsia na kuwa wa kike.
Swali linakuja uwepo wa hii sumu kwenye vyakula vyetu itafanya watoto wetu wa kiume wawe wa namna gani?
hapa chini nitaambatanisha picha mbili, moja ni ya chura wa kiume ayebadili jinsia akiwa kakamatiwa akitagishwa mayayi. Na picha ya pili huu ni ukurasa kutoka "registered pesticide to use in united republic of Tanzania" toleo la feb 2020, kwenye hiyo list iyo sumu inapatikana kwenye page nyingi sana.
Hivyo basi ndio maana nipo hapa nikilia na Serikali yangu ijaribu kwa namna yakee kuzuia mafuriko ingawa imechelewa kidogo.
Hii sumu inatumiwa sana na wakulima katika kuua magugu katika mashamba makubwa ya mazao mbalimbali: miwa, mahindi. Sasa kwa nini hii sumu ni Nongwa?
Mwaka 2010, Dr. Tyrone Hayes alifanya utafiti kwa Vyura waliokuwa wana ishi ndani ya maji yenye hii sumu kwa kiwango kidogo kinachoruhusiwa na mamlaka za maji safi huko nchini Marekani, na kubaini ya kwamba vyura wa kiume walibadilishwa jinsia na kuwa wa kike.
Swali linakuja uwepo wa hii sumu kwenye vyakula vyetu itafanya watoto wetu wa kiume wawe wa namna gani?
hapa chini nitaambatanisha picha mbili, moja ni ya chura wa kiume ayebadili jinsia akiwa kakamatiwa akitagishwa mayayi. Na picha ya pili huu ni ukurasa kutoka "registered pesticide to use in united republic of Tanzania" toleo la feb 2020, kwenye hiyo list iyo sumu inapatikana kwenye page nyingi sana.
Hivyo basi ndio maana nipo hapa nikilia na Serikali yangu ijaribu kwa namna yakee kuzuia mafuriko ingawa imechelewa kidogo.