Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
Jamani wakubwa humu,habarini zenu,,,
awali ya yote naomba kujua NACTE ni chombo cha serikali au binafsi? maana naona kuna mchezo mchafu wa watu wachache umeandaliwa ili kujitengenezea mazingira ya kipigaji kwani ktk hivi vyuo vya ualimu vilivyohamishiwa kutoka WIZARA YA ELIMU KWENDA NACTE wakuu wamepata sababu za kudanganya wanachuo kila wanapodai mahitaji yao ya msingi kwa kusema kuwa lengo la serikali
kuhamisha jukumu la kusimamia vyuo hivi ni kujitoa moja kwa moja ktk kuvihudumia ikiwemo kutovitumia ruzuku,hivyo hivi vyuo vinajitegemea vyenyewe na ndio maana ada imeongezwa maradufu kutoka laki 2 ya awali mpaka laki 6...pamoja na michango yote inafikia laki8.5
kwa ilivyo kawaida kada ya ualimu ni ya watu wa kati kama sio wa chini je,wataweza kumudu hizi gharama kwa miaka 3?au wenzetu mlifikiria nini?
tujadili wadau
awali ya yote naomba kujua NACTE ni chombo cha serikali au binafsi? maana naona kuna mchezo mchafu wa watu wachache umeandaliwa ili kujitengenezea mazingira ya kipigaji kwani ktk hivi vyuo vya ualimu vilivyohamishiwa kutoka WIZARA YA ELIMU KWENDA NACTE wakuu wamepata sababu za kudanganya wanachuo kila wanapodai mahitaji yao ya msingi kwa kusema kuwa lengo la serikali
kuhamisha jukumu la kusimamia vyuo hivi ni kujitoa moja kwa moja ktk kuvihudumia ikiwemo kutovitumia ruzuku,hivyo hivi vyuo vinajitegemea vyenyewe na ndio maana ada imeongezwa maradufu kutoka laki 2 ya awali mpaka laki 6...pamoja na michango yote inafikia laki8.5
kwa ilivyo kawaida kada ya ualimu ni ya watu wa kati kama sio wa chini je,wataweza kumudu hizi gharama kwa miaka 3?au wenzetu mlifikiria nini?
tujadili wadau