Viongozi wa juu wa kitaifa wanahitaji mahitaji maalumu kila waendapo na yanahusisha gharama. Misafara yao na wasaidizi wao...
Itakua ngumu mzee ππ, mnatuonea wivu tu π€£π€£π€£!! Imagine zile LC 300 bei yake na zimejaa nchi na plate no za gavoo!!Viongozi wa juu wa kitaifa wanahitaji mahitaji maalumu kila waendapo na yanahusisha gharama. Misafara yao na wasaidizi wao. Ikiwa hilo halitoshi wenyeji nao wana misafara yao kila panapokuwa na tukio linalohusisha kiongozi mkuu. Hivi kweli ni sawa.
Hebu wakubwa zetu mambo mengine yafuate taratibu tu labda iwe kama kuna kutafuta political mileage na si utendaji wa kawaida wa serikali.
- Waziri mkuu kuandaliwa rasmi shughuli ya kugawa vishkwambi? Pangetolewa muongozo wa ugawaji si ingetosha!
- Kila mwaka serikali inanunua magari na pikipiki. Hivi kweli ni sahihi kumtumia Makamu wa Raisi kugawa vitu kama hivi?
SERIKALI YA TANZANIA TAJIRI SANA Waacheni VIONGOZI NA WABUNGE WALE MAISHAViongozi wa juu wa kitaifa wanahitaji mahitaji maalumu kila waendapo na yanahusisha gharama. Misafara yao na wasaidizi wao. Ikiwa hilo halitoshi wenyeji nao wana misafara yao kila panapokuwa na tukio linalohusisha kiongozi mkuu. Hivi kweli ni sawa.
Hebu wakubwa zetu mambo mengine yafuate taratibu tu labda iwe kama kuna kutafuta political mileage na si utendaji wa kawaida wa serikali.
- Waziri mkuu kuandaliwa rasmi shughuli ya kugawa vishkwambi? Pangetolewa muongozo wa ugawaji si ingetosha!
- Kila mwaka serikali inanunua magari na pikipiki. Hivi kweli ni sahihi kumtumia Makamu wa Raisi kugawa vitu kama hivi?