Serikali irekebishe kasoro zilizopo katika mkataba wa DP World au iachane nayo kabisa

Serikali irekebishe kasoro zilizopo katika mkataba wa DP World au iachane nayo kabisa

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Maneno mengi yamesemwa juu ya mkataba huu na wengine wameenda mpaka Mhakamani kupinga mkataba huu. Sisi tunaokaa huku kwa wananchi tumesikia mengi na sumu nyingi imemwagwa kwa wananchi kuhusu ubaya wa mkataba huu. Kama Serikali ikiamua kuendelea na mkataba huu yafuatayo yanaweza kujitokeza:-

(1) CCM kuchukiwa na wananchi wakidhani nchi yao inauzwa.
(2) Asilimia 90 ya Wabunge wa CCM itakuwa vigumu kurudi mjengoni 2025. Wananchi wanaona wanasalitiwa na Wabunge wao waliowachagua kuwakilishi maoni yao.
(3) Imani ya wananchi kwa Mhe. Rais wao utapungua sana na hata sasa unaendelea kupungua na inawezekana mgombea wa CCM akashindwa kabisa kwenye uchaguzi ujao.

Wananchi wengi wakiwamo Wazee wetu walioongoza nchi hii, Madhehebu ya dini, LHRC na wengineo wakitaka pale penye kasoro kwenye mkataba huu parekebishwe. Tunaiomba Serikali iwasikilize wananchi wake na ndiyo waliyowaweka madarakani.

Sikilizeni mawazo ya wananchi.
 
Maneno mengi yamesemwa juu ya mkataba huu na wengine wameenda mpaka Mhakamani kupinga mkataba huu. Sisi tunaokaa huku kwa wananchi tumesikia mengi na sumu nyingi imemwagwa kwa wananchi kuhusu ubaya wa mkataba huu. Kama Serikali ikiamua kuendelea na mkataba huu yafuatayo yanaweza kujitokeza:-
(1) CCM kuchukiwa na wananchi wakidhani nchi yao inauzwa.
(2) Asilimia 90 ya Wabunge wa CCM itakuwa vigumu kurudi mjengoni 2025. Wananchi wanaona wanasalitiwa na Wabunge wao waliowachagua kuwakilishi maoni yao.
(3) Imani ya wananchi kwa Mhe. Rais wao utapungua sana na hata sasa unaendelea kupungua na inawezekana mgombea wa CCM akashindwa kabisa kwenye uchaguzi ujao.
Wananchi wengi wakiwamo Wazee wetu walioongoza nchi hii, Madhehebu ya dini, LHRC na wengineo wakitaka pale penye kasoro kwenye mkataba huu parekebishwe. Tunaiomba Serikali iwasikilize wananchi wake na ndiyo waliyowaweka madarakani. Sikilizeni mawazo ya wananchi.
we bado unaota, amka usingizini mkataba umeshapita tunasubiri utekelezaji.
 
3) Imani ya wananchi kwa Mhe. Rais wao utapungua sana na hata sasa unaendelea kupungua na inawezekana mgombea wa CCM akashindwa kabisa kwenye uchaguzi ujao.
Hiyo imani kwa wananchi imekwisha sasa CCM hawafai kabisa!
 
Maneno mengi yamesemwa juu ya mkataba huu na wengine wameenda mpaka Mhakamani kupinga mkataba huu. Sisi tunaokaa huku kwa wananchi tumesikia mengi na sumu nyingi imemwagwa kwa wananchi kuhusu ubaya wa mkataba huu. Kama Serikali ikiamua kuendelea na mkataba huu yafuatayo yanaweza kujitokeza:-

(1) CCM kuchukiwa na wananchi wakidhani nchi yao inauzwa.
(2) Asilimia 90 ya Wabunge wa CCM itakuwa vigumu kurudi mjengoni 2025. Wananchi wanaona wanasalitiwa na Wabunge wao waliowachagua kuwakilishi maoni yao.
(3) Imani ya wananchi kwa Mhe. Rais wao utapungua sana na hata sasa unaendelea kupungua na inawezekana mgombea wa CCM akashindwa kabisa kwenye uchaguzi ujao.

Wananchi wengi wakiwamo Wazee wetu walioongoza nchi hii, Madhehebu ya dini, LHRC na wengineo wakitaka pale penye kasoro kwenye mkataba huu parekebishwe. Tunaiomba Serikali iwasikilize wananchi wake na ndiyo waliyowaweka madarakani.

Sikilizeni mawazo ya wananchi.
Ule mkataba unaoitwa makubaliano na chawa wa ccm haurekebishiki ni wa kufutiliwa mbali mpaka kwenye kumbukumbu la bunge la vibungo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kweli wangeachana nao, ila kwa nguvu inayofanywa na watu wa ccm inaonekana "walishakula" cha mwarabu na shurti kirudi!
 
Back
Top Bottom