Serikali isilaumiwe kwa hali ngumu ya maisha-JK

Naomba hotuba za Kikwete zikome mana hana jipya. Tusubiri November mosi au akizungumza na Wahariri.

Naomba kuwakilisha....
 
Hii 'Global credit crunch' ni kitu cha hivi karibuni ambacho athari zake bado hazijafika hapa kwetu,walichotaka kujua wana Mbeya hiyo miaka 3 ya utawala wa Kikwete mbona wanazidi kutaabika na hawaoni maisha bora aliewaahidi? FOOLSTOP!

NB:Sisi tunauza dhahabu inabidi tuchekelee kwakua bei inazidi kupanda kila kukicha.Tungepata kilicho haki yetu kutokana na madini mbona tungekua mbali kama Botswana.
 
Hivi huyu Kikwete ni rais gani ? anafikiri kweli kabla ya kuzungumza ? Hivi kweli tunategemea nchi yetu itaendelea wakati Rais anazungumza vitu kama yuko kijiweni ?
 
Muungwana ndivyo alivyo. Hajifanyishi. Yawezekana tulikuwa hatujui au hatuamini vile alivyo ndivyo alivyo katika maana halisi.

TUMUOMBE TU MUNGU. KAZI IPO!!!!!!!!!!
 


Binafsi simwelewi
 
Alisema pamoja na kuwepo kwa msukosuko huo wa uchumi wa dunia, hata hivyo serikali bado haijaanza kujipanga kukabiliana na hali hiyo lakini baada ya miezi michache ijayo athari zitaanza kujitokeza.

Hata hivyo, Rais Kikwete alisema serikali inaendelea kutafakari ni jinsi gani itaikabili hali hiyo ili kusijitokeze athari zaidi katika uchumi."

WADAU MNAONA KIINI MACHO HIKI??
Tunashukuru sana kwa mkuu wa nchi yetu KUKIRI KWA KINYWA CHAKE kwamba bado hawajajiandaa wala kujipanga katika kukabiliana na umaskini nchini JAMANI WATANZANIA BADOOOOO MUWE MNAMUELEWA KIONGOZI WENU.
KIKWETE mwaka wa nne huo unaingia wa utawala wako BADO TU MNATAFAKARI??
 
"Nilifika Kenya nikakuta kila mtu amekata tamaa lakini nikaleta matumaini" Wakati wa kuunda coalition government hapo.


"Sijui kwa nini Tanzania ni maskini".Raisi huyo tena wa Tanzania akiwa Paris.


"Huu ni ukumbi wenye Vionjo na burudani zote stahiki". Duh,Rais akifungua ukumbi mpya wa bunge hapo.
 
Ndugu zangu msitegemee makubwa kutoka kwa JK. Raisi wetu ni mtupu kichwani. Sana sana yeye alitaka kuupata uraisi. Ndio lengo hilo. Sidhani kama aliwazia kuwatumikia watanzania kupitia uraisi.
 
Siku watoto wa shule za msingi walipo andamana kupinga nauli yao kuongezwa kutoka 50/= mpaka 100/= walibeba mabango ambayo mengine yalisema,'maisha bora kwa kila fisadi','serikali gani inakaba mpaka penati','mshahara wa baba 120,000/= anatakiwa kutupa malazi,chakula, mavazi,dawa,nauli na mengineyo mama hafanyi kazi Kikwete panga bajeti'.Haya wameyaona watoto wetu wa shule za msingi!!
 
Do we have (Tanzania) any share in FTSE or Newyork stock exchange? I hope we dont, so how come Tanzania Economy will be affected?

I know, may be because we will no longer receiving grant; that why Mr JK worry about that.
But he (JK ) need to be specific about that.
 
..ziara moja ya kikwete ulaya inagharimu tzs bilioni moja ...thats true...kikwete huyu ndie aliyemchafua sumaye alipofanya ziara ya siku 10 marekani iliyogharimu milioni 500[ambako alifanikiwa kuingia mkataba wa ujenzi wa chuo kikuu na refferal hospital inayomilikiwa na kanisa anglikan dodoma st john,at least alirudi na kitu]..that was 4 years ago.....LEO GHARAMA ZIMEPANDA KIASI ZIARA YA WIKI MOJA YA RAIS MAREKANI INAGHARIMU 1 MILLION DOLLARS...SASA UKIZINGATIA ZIARA ZAKE NYINGINE ZINAFIKIA HADI WIKI 3......NA AMESHASAFIRI MARA NANE KWA MWAKA HUU TU............INAKADIRIWA KUWA MWAKA HUU PEKEE KIKWETE AMESHATUMIA DOLA MILIONI KUMI[USD 10,000,000]...HIYO NI KWENDA MAREKANI TU......SIJAONGELEA ZIARA ZA ULAYA ,ASIA,AFRIKA,ETS................

IKULU TUAMBIENI FUNGU LA ZIARA ZA RAIS PEKEE KWA MWAKA NI DOLA MILIONI 100???...SAY SHILINGI BILIONI 120..............................PESA ANAZOTUMIA RAIS KWA ZIARA ZA NJE ZINATOSHA KUGHARIMIA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI...ANATUMIA PEKE YAKE............TUNAFAIDIKA NINI!!!!
 

what about EPA,RICHMOND KIWIRA NA RADDER MR PRESIDENT??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…