residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Unaandika vitu vihusuvyo ndege halafu unasema barafu ni "unnecessary things".!!???Sihitaji kujua unnecessary things , pole
Huyu DG wa Precision kakukosea Nini unataka awekwe lockup? Kule kuonesha kwake Simanzi in Public ndio kosa lake? Yaani asiwalilie Marehemu, Watumishi Wenzake, Rubani na Wengineo? Duuh Wacha Mvua inyeshe tuone panakovuja ni Ukweli halisi.🙄🙄Chuki Binafsi.Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.
Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.
Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.
Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.
So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.
I was eager to see my new beginnings.
Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.
Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.
Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision
Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.
2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.
Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.
Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.
Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.
Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision
. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.
Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.
Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.
Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.
Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.
Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.
Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.
Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.
Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.
Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.
Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years
Captain Buruhani Rubaga
Captain
Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11
Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos
First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)
Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Chuki binafsi ya kibiashara,Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.
Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.
Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.
Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.
So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.
I was eager to see my new beginnings.
Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.
Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.
Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision
Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.
2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.
Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.
Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.
Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.
Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision
. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.
Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.
Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.
Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.
Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.
Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.
Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.
Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.
Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.
Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.
Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years
Captain Buruhani Rubaga
Captain
Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11
Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos
First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)
Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Tena huyo ni zaidi ya hasara.Taifa kuwa Na watu kama wewe ni HASARA kubwa mno.
Ndugu Labda kwakukusaidia tu snags or technical fault it's happening hata katika mashirika unayo yaamini..Starting with KWANINI kwenye first paragraph shows how faster you are than the wisdom itself.
Talking about scientific proof is manipulation of the subject matter.
Hata science ilianza na personal experiences to bring truth on earth.
99% ya Imani yako ime base kwenye history na personal experience.........henceforth, Una guts gani za kusema ni maoni yako tu..... did you even read the comments?
Well , based on personal experience and other’s experience, ndege za Precision Air probably zimesha Expiry na ndio maana tumeishauri serikali kufanya age analysis.
Kwamba unataka kuniambia hakuna siku pale KIA tairi ya ndege ilipata pancha ? Ask them ,
Kwamba unataka kusema pale Tabora ndege haikushindwa kuchomoa tairi ? For 30min tupo hewani tuna strungle, what if mafuta yangekata at that moment ?
Kwamba unataka kusema pale JNIA tairi zenu hazikuwaka moto ? Je mlijibu nini ?
Kwamba unataka kusema hakuna siku watu tumetoka pale JNIA mpaka KIA huku injini moja haifanyi kazi ....?
Then What else utakachotumia kupata proof ?
Kwamba Unataka kusema hamjaari injia ambao background yao walisomea ufundi wa MAGARI , au unataka tutaje majina yao hapa ambao background yao ni Automobile Mechanical ,
We Mzee hebu tumia akili yako sawasawa... we are not making politics here ,
do you know mmeacha wajane wangapi,
do you know mmekatisha ndoto za dreamers wangapi,
do you know mmeacha mayatima wangapi just for your own inefficiencies kwenye business
Kabla hatujaanza kuilaumu the government, tunataka majibu kwenu kwanza.
Ndani ya dakika 30, tangu ndege kuanguka wahudumu wenu baadhi yao were all fine, kwa experience yao walipaswa kujua namna ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kufungua milango ya Emergency Door. Baada ya dogo kuvunja mlango wa Emergency, muhudumu wenu nae akachomoka bila ya kujua code of conduct zinamtaka afanye nini ..... Hii ni ishara kuwa crew yenu haijawahi kuwa trained hata siku moja.
Kama Rubaga alikuwa anajua wazi kuwa anakwenda kutua kwenye maji, alitakiwa kuandaa watu ikiwa ni pamoja na ku unlock all Emergency Doors. Rubaga amefariki dakika 40 baada ya ndege kuanguka, ndani ya ndege kulikuwa na muhudumu ambae tunaamini ana Technical Experience za Emergency Issue ...... hata huyo nae ambae alipaswa kuwa na confidence na kufungua milango ..... matokeo yake alikimbia.
Tunataka ku review upya utendaji wenu na ndege mnazotumia kama bado zina kidhi vigezo. Hatutaki business as usual.
Ndege zenu zote zinatakiwa kufanyiwa disposal , tunajua kuwa mnatumia used spares to fix hizo pancha na matatizo ya injini and that scares us most .
Ndugu Labda kwakukusaidia tu snags or technical fault it's happening hata katika mashirika unayo yaamini..
Kitu unatakiwa kujua kwenye ndege kuna Mifumo ya utendendaji kazi zaid ya option moja.
Mfano kwenye landing gear Kwa lugha rais miguu ya ndege Inafanya kazi through 3 system kuna electrically ,mechanically, hydrolically, sometime zingine zimewekewa mpaka pneumatic system..
Na unaposema ndege zimeexpiry Pengine kunakitu auna ufahamu nacho kuhusu aviation.
Kwanza kwakukusaidia ndege ni chombo ambacho kinaweza kuish miaka mingi zaid Pengine kuliko chombo chochote cha usafir Kinacho tengenezwa na Mwanadamu..
Kitu Kinacho mata maintance schedule unavo zifuatazo hilo tuh ukizingatia hilo ndege unaweza kaa nayo ata miaka miatatu .
Kwa tafsil ingine ndege ni airframe ile structure ya ndege ukiweza kutunza ile bac ndege ako itakua saafi. Kwasababu Kunavitu kama corrosion,cracks, ni adui mkubwa wa airframe ambavyo unatakiwa kuzibit mapema. Tusifike uko lkin kitu Natamani ujue ni kwamba ndege inavitabu tofaut tofaut Kama vitatu kulingana na aina ya ndege..
1.powerplant ambayo ndo engine
2.propeller
3.airframe
Hapo kwenye airframe kuna miguu ambayo ndo landing gear ambayo nayo ubdilishwa kwakuesabu landing cycle ambapo Kama manufacture amekwambia miguu yangu itaenda cycle elf kumi tuh utakapo maliza tuh utatakiwa urudishe Kwa manufacture kwajili ya overall the same kwenye propeller na engine ambapo uko awaesbu cycle tena bali wanacalculate hours
.
Ko si swala la ushabiki tuh it's all about processing understanding Ko hiv vitu kaka almost mashirika yote yanapata challenge za kitechnicall mala kazaa nimeona shirika kama kenyaairways ikipata ingine failure maalafulan..
Lakin pia kitu kingine shirika tunalo lijadil nilikua najaribu kufatilia historia ake hapa naona limeanzishwa 93 and this it's first accident kutokea..
Ko mm ninacho weza Shaur tusubilie wataalamu wetu waje na investigation report then tutajua mbiv na mbch
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Huyu DG wa Precision kakukosea Nini unataka awekwe lockup? Kule kuonesha kwake Simanzi in Public ndio kosa lake? Yaani asiwalilie Marehemu, Watumishi Wenzake, Rubani na Wengineo? Duuh Wacha Mvua inyeshe tuone panakovuja ni Ukweli halisi.[emoji849][emoji849]Chuki Binafsi.
Unaandika vitu vihusuvyo ndege halafu unasema barafu ni "unnecessary things".!!???
Kizazi cha FB bakini huko huko FB,tuacheni baba zenu huku.
kwa ndege kama Precision ni masafa marefu.Precision inafanya masafa marefu yapi mkuu, safari ya Dar-Mwanza? you are not serious!
Watoto wa Facebook mnaliharibu jukwaa letu.Ndio nini hiko , Acha kutoa ukubwa usio Na maana huyu ni mtu tu Kama watu wengine hana impact yoyote kwenye maisha ya kawaida so relax [emoji1690]
ONDOA UNAFKI WAKO HAPA WE MBWEHA.Sawa sawa. Hawa watu hawapo Serious . Nimesha Experience dharuba na hizi ndege za Precision, kwanza wakati mwingine hazifanyiwi proper inspection. Inspection yao ni kusafisha ndani na kupakia watu wengine
Nasema Serikali ifanyie kazi hili . Na nasema wananchi waachane na hili shirika.... otherwise tutazika ndugu sana , or else , walate brands new Precision .
Na mkibadili jina ku mislead wa TZ , tutawaanika hapa hapa.
Maisha ni thamani bwana , hatutaki majaribu. Mmeua injia, doctors, pharmacist, bankers , na specialist nyinginezo ...... msituletee mambo ya kipumbavu kwa poor management skills
Kwa nini serikalii isimamishe shuhuli zote za precision air? kwani wao ndio wanaomiliki na kuendesha air tarffic control huko bukoba? Kwa maelezo ya mmoja wa abiria aliesalimika anatwambia kuwa hali ya hewa ilikuwa mbaya sana na captain aliwajulisha kuwa vision haikuwa nzuri na anajaribu kurudi tena na kuona kama ataweza kutuwa. Kama hali ilikuwa ni hivyo ilikuwa ni jukumu la waliokuwapo kwenye tower ya air taffic control kumshauri kapteni kutotua na aende uwanja mwengine ulio karibu nao. Sasa kuwalaumu Precision na kuwaachilia waongozaji wa ndege pale kiwanjani ni uonevu tu!!!!