Serikali isipochukua hatua zaidi tunakoelekea ni kubaya

Serikali isipochukua hatua zaidi tunakoelekea ni kubaya

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Aridhi ya Tanzania inaenda kuhodhiwa na Wageni hasa Wakenya & Warwanda.Idadi ya Wakenya wanahamia Tanzania inaongezeka maradufu.Mwezi uliopita nilisafiri kwenda Msibani Tarime wakati narudi kuelekea Mwanza mida ya SAA 1 kutokea Tarime-wakati tunafika katika daraja la MTO Mara mpakani mwa Wilaya ya Musoma na Tarime tulisimamishwa na Askari wa uhamiaji tukikaguliwa kwa kutoa vitambulisho na kueleza wapi tunaelekea.

Kilichonistajabisha ni kuwa nusu ya RAIA katika lile basi la Zakari walikuwa Wakenya-wakielekea Mwanza,wengi walikamatwa kutokana na kuwa na kiswahili kibovu cha kikenya.imagine tunazungukwa na Nchi 8 ni wTu wangapi wanaingia Nchini kiholela?

Serikali iongeze jitihada katika mipaka hii idadi ni kuwa sana.
 
Nchi imefunguka acha watu walambe asali.
 
Kuna uzi niliwaeleza kuhusu shamba la bibi mkenya alivoni simulia hii tz .niliishiwa kutukanwa tu.

mtakumbuka maneno yangu
 
Acha waje tuuu,nchi hii ni kubwa Sana na iko tupu,Wamama endeleeni KUFICHA UCHI,KUTUMIA UZAZI WA MPANGO na KUZITOA MIMBA tusijekosa eneo la kuwahifadhi WAGENI wakiwemo WACHINA.
 
Back
Top Bottom