Serikali isipuuze malalamiko ya Ugumu wa Maisha

Serikali isipuuze malalamiko ya Ugumu wa Maisha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ukweli ni kwamba hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno ! Wananchi wanalalamika lakini hakuna anayewasikiliza, bei ya vyakula inazidi kupaa.

Ni lazima sasa serikali ifanye jambo ili kunusuru wananchi wake, huo ndio uwajibikaji, haiwezekani Wapagani nao Wafunge Ramadhan au Kwaresma halafu tubaki bila kushangaa!

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga lakini iko siku Mungu ataingilia kati na kuwaamsha yatokee kama yanayoendelea Kenya.

FB_IMG_1680003637302.jpg
 
Hadi Mbowe amelamba asali na yule kichaa mwingine kurudi Ubelgiji. Maisha ni magumu sana
 
Serikali igawe hata chakula kwa wanaohitaji zaidi
Mbona nchi zingine duniani wanawajali raia walipa kodi?
Wengine tunapewa mpaka £60 kila mwezi kwa kuongezea kwenye umeme

Watu sio mpaka wapige kelele tu hali yenyewe inajionyesha

Hali imekuwa mbaya leo wakenya wanaiba kondoo, kesho wataingia na mbuga za wanyama wakabebe swala

Ni njaa imewapelekea hayo
Kenyatta hakuyajua haya yatatoke?

Na sisi mfuga kuku analia kila siku anaibiwa
Haya maisha ni lazima serikali iangalie
 
Ukweli ni kwamba hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno ! Wananchi wanalalamika lakini hakuna anayewasikiliza, bei ya vyakula inazidi kupaa.

Ni lazima sasa serikali ifanye jambo ili kunusuru wananchi wake, huo ndio uwajibikaji, haiwezekani Wapagani nao Wafunge Ramadhan au Kwaresma halafu tubaki bila kushangaa!

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga lakini iko siku Mungu ataingilia kati na kuwaamsha yatokee kama yanayoendelea Kenya.

View attachment 2568699
Leo wamemsifia bi tozo eti ameleta democrasia .utafikiri tuna kula democrasia wabunge wetu ni vilaza sana jamani
 
Leo wamemsifia bi tozo eti ameleta democrasia .utafikiri tuna kula democrasia wabunge wetu ni vilaza sana jamani
Mbumbu yale!. Yanamshabikia bi. Tozo ili yalambe posho ya cku 87 haswa!.

"Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa utweza UTU wa binadamu". Daktari Bashiru Kakuru Ally.
 
Baadhi ya familia zinapika ugali tu , mboga kila mtu ajitegemee, hivi kweli Tanzania tumefika hapa!
Bora wanaopika. Familia nyingi hazipiki kabisa. Kila mwanafamilia anakula kinakuja mbele yake anakojua mwenyewe. Hali ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom