Serikali isitishe ununuzi wa ndege mpya kwa sasa

Serikali isitishe ununuzi wa ndege mpya kwa sasa

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Kutokana na janga la korona, uendeshaji wa ndege ni kati ya biashara ngumu sana ulimwengni kwa sasa kwani mashirika mengi tena yenye nguvu yamekuwa yakipata hasara ya mabilioni ya Pesa

Kutokana na hii changamoto, nafikiri ni wakati sasa wa Bunge kuishauri serikali isitishe maramoja ununuzi wa ndge na hivyo kutumia fedha zilizotengwa kununulia ndege kwenye shughuli nyingine za maendeleo na pale Uchumi wa Dunia utakapo tengemaa (post covid) tutanunua ndege

Kununua ndege na kuipaki bila kuitumia huendelea kuleta hasara kubwa kwani huendelea kulipiwa; Parking slot, Annual Insurance, maintenance na mishahara ya walio ajiriwa waifanyie kazi huku inakuwa haitembei/haizalishi.
 
Hivi mama lile dege analiwasha hapa mpk Misri linacost how much? Hivi ana uhakika hatuna madeni huko anapolipeleka? Asije siku akarudi kwa miguu.
 
Atcl haiwezi kupata faida hata bila corona. Imeanzishwa 2016 haikuwahi kupata faida.
 
Hizo ndege zilishalipiwa cash na yule mwehu. Wacha zije tu biashara hakuna mama anazurura nazo tu hakuna namna.
 
Zimeshalipiwa na JPM
ukilipia advance (kishika uchumba) kwenye mitambo mikubwa pamoja na ndege, wewe ndiye unasema lini utengenezewe; hivyo katika hali ya kawaida unao uwezo wa kumwambia mtengenezaji asitengeneze hadi utakapokuwa tayari; Sana sana utaambiwa kama bei itabadilika utajazia ila ikishuka hautapunguziwa
 
Back
Top Bottom