Serikali isiwabembeleze wafanyabiashara Kariakoo waacheni watafungua wenyewe

Serikali isiwabembeleze wafanyabiashara Kariakoo waacheni watafungua wenyewe

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Sawa nakubali Kariakoo ndio kitovu cha uchumi nchini, biashara zote nchini watu wanafungashia Kariakoo, mapato ya nchi kwa kiasi kikubwa yako kariakoo, nafahamu pia athari za kiuchumi endapo biashara zitafungwa pale kariakoo, lakini kwanini serikali iendelee kulea wapuuzi wanaokwepa kulipa kodi, tax evasion is a criminal offence.

Zipo precedents nyingi duniani kwa viongozi waliowahi kufungwa na wengine kuhukumiwa vifo hasa kule China on the grounds of tax evasion.Why sisi tuone suala la kulipa kodi ni la kawaida.Kama tungekuwa tunajitosheleza kikodi unadhani tungekuwa tunakopa? Tunakopa kwa sababu scope ya revenue collection is very pathetic.

Sasa wafanyabiashara wameendelea kuleta viburi, wanasema hawatafungua, mimi nilifurahia sana kauli ya Mkuu wa Mkoa, serikali ikalinde maduka yao mwezi mzima wao wakose na sisi tukose, ingawa nakubali kuwa kazi ya serikali ni kujenga mazingira mazuri lakini unajengaje mazingira mazuri kwa watu wanaotumika kisiasa.

Leo kurasa zote za Chadema katika mitandao ya kijamii zimepost mabango mengine yakionyesha kuwa wafanyabiashara hawako tayari kufungua biashara zao, usipofungua biashara yako unamkomoa nani, mwenye jengo mwisho wa siku utamlipa kodi yake.

Kibiashara, huwezi kufunga duka siku 10, watafungua wenyewe na siku wakifungua TRA wakabeni siku hiyo, yes, Taxman should not engage in politics.

Mkiendelea kuwapeti peti hao wafanyabiashara - wanasiasa watatugharimu sana.
 
Mtu anaeweza kuongea ujinga unaoongea ni kama ww usiejua maisha halisia ya mfanya biashara
Watu kama wewe ndo mnakaa mnatengeneza mikodi isiyoweza kuendana na maisha halisi ya mtanzania
 
Sawa nakubali Kariakoo ndio kitovu cha uchumi nchini, biashara zote nchini watu wanafungashia Kariakoo, mapato ya nchi kwa kiasi kikubwa yako kariakoo, nafahamu pia athari za kiuchumi endapo biashara zitafungwa pale kariakoo, lakini kwanini serikali iendelee kulea wapuuzi wanaokwepa kulipa kodi, tax evasion is a criminal offence.

Zipo precedents nyingi duniani kwa viongozi waliowahi kufungwa na wengine kuhukumiwa vifo hasa kule China on the grounds of tax evasion.Why sisi tuone suala la kulipa kodi ni la kawaida.Kama tungekuwa tunajitosheleza kikodi unadhani tungekuwa tunakopa? Tunakopa kwa sababu scope ya revenue collection is very pathetic.

Sasa wafanyabiashara wameendelea kuleta viburi, wanasema hawatafungua, mimi nilifurahia sana kauli ya Mkuu wa Mkoa, serikali ikalinde maduka yao mwezi mzima wao wakose na sisi tukose, ingawa nakubali kuwa kazi ya serikali ni kujenga mazingira mazuri lakini unajengaje mazingira mazuri kwa watu wanaotumika kisiasa.

Leo kurasa zote za Chadema katika mitandao ya kijamii zimepost mabango mengine yakionyesha kuwa wafanyabiashara hawako tayari kufungua biashara zao, usipofungua biashara yako unamkomoa nani, mwenye jengo mwisho wa siku utamlipa kodi yake.

Kibiashara, huwezi kufunga duka siku 10, watafungua wenyewe na siku wakifungua TRA wakabeni siku hiyo, yes, Taxman should not engage in politics.

Mkiendelea kuwapeti peti hao wafanyabiashara - wanasiasa watatugharimu sana.
Utakuwa mvuta bangi kama huyo sakala mwenzako RC wa Dar, na kakukuna kweli jana hadi leo unamuota yeye tu.
 
Nije nifungwe, "
brothers who talk shit should be killed before being born again"- 2 pac
 
Too bad wajinga wenye mawazo kama haya ndo wanapewa nafasi kwenye uongozi wakiongozwa yule mlevi wa jana
 
Leo kurasa zote za Chadema katika mitandao ya kijamii zimepost mabango mengine yakionyesha kuwa wafanyabiashara hawako tayari kufungua biashara zao,
Kwanini usiandike Gazeti la kuwashauri Watawala wakae chini na Wafanyabiashara ili kutatua kero zilizopo kwenye sekta hiyo iliyofanywa kuwa ndio MGODI wa Serikali ya CCM.

Kuliko kuitumia CHADEMA kama Scapegoat?!
 
Kupigwa mshale wa jicho ni haki yako .
 
Kwanini usiandike Gazeti la kuwashauri Watawala wakae chini na Wafanyabiashara ili kutatua kero zilizopo kwenye sekta hiyo iliyofanywa kuwa ndio MGODI wa Serikali ya CCM.

Kuliko kuitumia CHADEMA kama Scapegoat?!
Hili mbwiga kweli kweli linafurahia kukunwa na Chalamila, ovyo kabisa.
 
Sawa nakubali Kariakoo ndio kitovu cha uchumi nchini, biashara zote nchini watu wanafungashia Kariakoo, mapato ya nchi kwa kiasi kikubwa yako kariakoo, nafahamu pia athari za kiuchumi endapo biashara zitafungwa pale kariakoo, lakini kwanini serikali iendelee kulea wapuuzi wanaokwepa kulipa kodi, tax evasion is a criminal offence.

Zipo precedents nyingi duniani kwa viongozi waliowahi kufungwa na wengine kuhukumiwa vifo hasa kule China on the grounds of tax evasion.Why sisi tuone suala la kulipa kodi ni la kawaida.Kama tungekuwa tunajitosheleza kikodi unadhani tungekuwa tunakopa? Tunakopa kwa sababu scope ya revenue collection is very pathetic.

Sasa wafanyabiashara wameendelea kuleta viburi, wanasema hawatafungua, mimi nilifurahia sana kauli ya Mkuu wa Mkoa, serikali ikalinde maduka yao mwezi mzima wao wakose na sisi tukose, ingawa nakubali kuwa kazi ya serikali ni kujenga mazingira mazuri lakini unajengaje mazingira mazuri kwa watu wanaotumika kisiasa.

Leo kurasa zote za Chadema katika mitandao ya kijamii zimepost mabango mengine yakionyesha kuwa wafanyabiashara hawako tayari kufungua biashara zao, usipofungua biashara yako unamkomoa nani, mwenye jengo mwisho wa siku utamlipa kodi yake.

Kibiashara, huwezi kufunga duka siku 10, watafungua wenyewe na siku wakifungua TRA wakabeni siku hiyo, yes, Taxman should not engage in politics.

Mkiendelea kuwapeti peti hao wafanyabiashara - wanasiasa watatugharimu sana.
Hujui kariakoo ndio wanakulipa mshahara endelea kuropoka
 
Kama aliye andika haya ni mtu mzima! Basi hii nchi tuna safari ndefu sana.

Japo situmii pombe ila hata ningekunywa nikalewa, I'm sure nisinge ongea kama alivyo ongea mheshimiwa hapo.
 
Wafanyabiashara ni Raia na wapiga kura.Kama CCM imeshindwa kuwasaidia kufanya Biashara zao kwa Amani na kuwaepusha na mlundikano wa Kodi kandamizi,unapata wapi uhalali wa kuwazuia Chadema wasiwasaidie kupata Haki Yao ikiwezekana hata kwa mgomo!
Tambua kwamba watu hawajagoma kwa sababu wanapenda,Maji yamewafika shingoni.
Hawa Wafanyabiashara walichokifanya hakina tofauti na mtu anayegoma kula kupinga manyanyaso.
Serikali itatue matatizo Yao,ndio Uongozi wa Haki.
Wakusanya Kodi na Wafanyabiashara lazima wafikie concessus,hawa ni watu wanaotegemeana hakuna haja ya kuleteana Ubabe.
 
  • Thanks
Reactions: I M
Hapo unasubiri shemeji arudi kutoka job umuombe buku la bando.

#KataaMachawa.
 
Mleta mada mjinga unajua serikali Kwa siku inapoteza Kodi kiasi Gani Kodi za VAT kwa hayo maduka kufungwa?
NaunaKuta ni mtumishi wanafikir hiyo mishahara bila wafanyabiashara wangekuwa wako kwenye nafasi walizonazo Sasa hivi
 
Back
Top Bottom