Serikali isiwachekee wafanyabiashara wa Kariakoo wanaovunja sheria kwa tamaa zao

Serikali isiwachekee wafanyabiashara wa Kariakoo wanaovunja sheria kwa tamaa zao

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kila kitu kwa sasa kipo uchi baada ya jengo kuanguka. Huu uhuni wa wafanyabiashara wengi wa Kkoo unastahili kudhibitiwa kisheria bila kuwaonea huruma.

Hizi underground floors zimeibuka sana miaka ya karibuni kumbe ni uhuni wa watu wenye tamaa wasioridhika na vipato yao.

Ninatia wito kwa serikali kuwashughulikia kisheria wafanyabiashara wote wanaofanya uhuni unaoweza kusababisha maafa. WASIONEWE HURUMA.
 
Mkuu wa nchi ataishia kusema na hili nalo mkalitizame. Alaf baada ya hapo ujenzi holela utaendelea kama kawa bila mtu yoyote kuchukuliwa hatua za kisheria.
 
Kila kitu kwa sasa kipo uchi baada ya jengo kuanguka. Huu uhuni wa wafanyabiashara wengi wa Kkoo unastahili kudhibitiwa kisheria bila kuwaonea huruma. Hizi underground floors zimeibuka sana miaka ya karibuni kumbe ni uhuni wa watu wenye tamaa wasioridhika na vipato yao. Ninatia wito kwa serikali kuwashughulikia kisheria wafanyabiashara wote wanaofanya uhuni unaoweza kusababisha maafa. WASIONEWE HURUMA.
Baada ya miezi tutasahau mambo yataendelea. Unakumbuka baada ya school bus kupata ajali arusha matamko yaliyotolewa kuhusu school bus? Level seat, bus ziwe na rangi ya yellow, sijui nini halafu what happened baadaye?
Hapa tutashuhudia mwezi mmoja wa kusumbuliwa halafu kila kitu kitarudi kama kilivyo.
 
Kila kitu kwa sasa kipo uchi baada ya jengo kuanguka. Huu uhuni wa wafanyabiashara wengi wa Kkoo unastahili kudhibitiwa kisheria bila kuwaonea huruma. Hizi underground floors zimeibuka sana miaka ya karibuni kumbe ni uhuni wa watu wenye tamaa wasioridhika na vipato yao. Ninatia wito kwa serikali kuwashughulikia kisheria wafanyabiashara wote wanaofanya uhuni unaoweza kusababisha maafa. WASIONEWE HURUMA.
Serikali ipi unayoizungumzia??na aliyekwambia Serikali inawachekea ni nani??halafu mtu mzima kutumia ID ya jina la Mke wa mtu huo ni zaidi ya UCHOKO
 
Serikali ipi unayoizungumzia??na aliyekwambia Serikali inawachekea ni nani??halafu mtu mzima kutumia ID ya jina la Mke wa mtu huo ni zaidi ya UCHOKO
Wewe kama ni choko usifikiri kila mtu yuko hivyo.
 
Wewe kama ni choko usifikiri kila mtu yuko hivyo.
Jibu hoja CHOKO wewe, aliyekwambia Serikali inawachekea wafanyabiashara ni nani??huna Wazazi mpaka uandike ID jina la Samia??UCHOKO mwingine bwana,wahanga wana siku ya pili leo hawajaokolewa na Serikali ipo,kila bajeti inanunua mashangingi mengi mpaka madereva wanakosekana,lakini kununua vifaa kwa ajili ya majanga kama haya zero,halafu michoko kama wewe fyokofyoko,kenge wewe
 
1731862298554.png
 
Kila kitu kwa sasa kipo uchi baada ya jengo kuanguka. Huu uhuni wa wafanyabiashara wengi wa Kkoo unastahili kudhibitiwa kisheria bila kuwaonea huruma. Hizi underground floors zimeibuka sana miaka ya karibuni kumbe ni uhuni wa watu wenye tamaa wasioridhika na vipato yao. Ninatia wito kwa serikali kuwashughulikia kisheria wafanyabiashara wote wanaofanya uhuni unaoweza kusababisha maafa. WASIONEWE HURUMA.

Wanaruhusiwa na Nani Kujenga? Rwanda?
 
Waasipoadabishwa tutegemee balaa zingine

Ova
 
Jibu hoja CHOKO wewe, aliyekwambia Serikali inawachekea wafanyabiashara ni nani??huna Wazazi mpaka uandike ID jina la Samia??UCHOKO mwingine bwana,wahanga wana siku ya pili leo hawajaokolewa na Serikali ipo,kila bajeti inanunua mashangingi mengi mpaka madereva wanakosekana,lakini kununua vifaa kwa ajili ya majanga kama haya zero,halafu michoko kama wewe fyokofyoko,kenge wewe
You will be fine! You will be fine!.... wewe ni shoga mwenye hasira kali sana. Mimi sikukutuma ujiingize kwenye matendo ya kisodoma.. hasira zako peleka kwa wasodoma wenzio.
 
Jibu hoja CHOKO wewe, aliyekwambia Serikali inawachekea wafanyabiashara ni nani??huna Wazazi mpaka uandike ID jina la Samia??UCHOKO mwingine bwana,wahanga wana siku ya pili leo hawajaokolewa na Serikali ipo,kila bajeti inanunua mashangingi mengi mpaka madereva wanakosekana,lakini kununua vifaa kwa ajili ya majanga kama haya zero,halafu michoko kama wewe fyokofyoko,kenge wewe
🤝🤝🤝🤝🔥🔥🔥🔥
 
Jijini Dar hilo siyo jengo la kwanza kuporomoka na halitakuwa la mwisho.
 
Back
Top Bottom