Mamlaka za serikali zimekuwa kero kubwa kwa wananchi. Uliza across the board labda kama wewe ni mlamba asali au familia zao.
Kuna hoi hoi na nderemo kuwa zakusanywa 2Tn/- Kwa mwezi. Humo zimo tozo batili zinazoambana na tozo za Mwigulu, faini za yanayoitwa makosa mbalimbali hata ambayo ni batili. Malipo kama haya yapo mengi.
Kwanini kuwapo tozo zozote za ziada kwenye miamala ya kulipia malipo ya serikali. Kwanini wananchi kutozwa faini kwa sababu ya mapungufu yoyote yatokanayo na utendaji wa serikali yenyewe au mifumo yake?
Ole wako deadline ya malipo ipite. Kuelekea deadline utasikia "mtandao unasumbua."
Kukithiri kwa faini batili. Angalia faini za maegesho na uhalali wake.
"Si nadra kuona mabasi yakitozwa faini za maegesho hata sehemu zenye vibao vya Tanroads vyenye kuruhusu mabasi kuegeshwa sehemu husika."
Imekuwa vurugu mechi. Kinachotakiwa ni mapato bila kujali uhalali wake.
Si kuwa watu wanalipa faini nyingi hizi shingo upande kama yalivyomkuta Simba wa Tandale? Si kuwa Simba ana hoja ila katereza tu kwenye kuiwasilisha?
Vipi Kodi za kubambikizwa, vipi mapato ya kulazimishwa kununua mashine za EFD, ving'amuzi vya magari nk? Izingatiwe vingi vya hizi vinauzwa kwetu ya x 100 kulinganishwa na China huko vinakozalishwa?
Vipi utitiri wa kodi kwenye bidhaa au huduma moja? Kwani ni nadra kukuta bidhaa ikiwa na kodi zaidi 100%? Agiza kitu kutoka nje ujute!
Malipo haramu kwa serikali ni aibu labda kwa wahuni.
Tuzingatie wahuni si watu wazuri!
Kuna hoi hoi na nderemo kuwa zakusanywa 2Tn/- Kwa mwezi. Humo zimo tozo batili zinazoambana na tozo za Mwigulu, faini za yanayoitwa makosa mbalimbali hata ambayo ni batili. Malipo kama haya yapo mengi.
Kwanini kuwapo tozo zozote za ziada kwenye miamala ya kulipia malipo ya serikali. Kwanini wananchi kutozwa faini kwa sababu ya mapungufu yoyote yatokanayo na utendaji wa serikali yenyewe au mifumo yake?
Ole wako deadline ya malipo ipite. Kuelekea deadline utasikia "mtandao unasumbua."
Kukithiri kwa faini batili. Angalia faini za maegesho na uhalali wake.
"Si nadra kuona mabasi yakitozwa faini za maegesho hata sehemu zenye vibao vya Tanroads vyenye kuruhusu mabasi kuegeshwa sehemu husika."
Imekuwa vurugu mechi. Kinachotakiwa ni mapato bila kujali uhalali wake.
Si kuwa watu wanalipa faini nyingi hizi shingo upande kama yalivyomkuta Simba wa Tandale? Si kuwa Simba ana hoja ila katereza tu kwenye kuiwasilisha?
Vipi Kodi za kubambikizwa, vipi mapato ya kulazimishwa kununua mashine za EFD, ving'amuzi vya magari nk? Izingatiwe vingi vya hizi vinauzwa kwetu ya x 100 kulinganishwa na China huko vinakozalishwa?
Vipi utitiri wa kodi kwenye bidhaa au huduma moja? Kwani ni nadra kukuta bidhaa ikiwa na kodi zaidi 100%? Agiza kitu kutoka nje ujute!
Malipo haramu kwa serikali ni aibu labda kwa wahuni.
Tuzingatie wahuni si watu wazuri!