Serikali itafute mbadala wa TANESCO

exaud morrey

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
1,024
Reaction score
977
Habari zenu wana jamvi natumai muwazima.

Kama kichwa cha habari kinavyo sema mimi naona kiukweli TANESCO kuna sehemu wamekwama haiwezekani mvua kidogo umeme unakatika pia shirika hili linaonesha limeshindwa kumudu kwenda na wakati.

Mimi maoni yangu kwa serikali nawashauri waliuze au waruhusu usajili wa mashirika mengine binafsi kusambaza umeme labda TANESCO watajirekebisha.
 
WALA sio mbadala bali TANESCO IGAWANYWE imebeba Shughuli nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…