Mbabanyi
New Member
- Aug 30, 2024
- 1
- 2
Tunaomba serikali itambue kozi ya Health information Science kwenye Portal za Ajira za serikali.
Je, serikali Ina mikakati gani? Maana huu ni mwa wa Saba na intake ya 8 Toka ianzishwe pia serikali tunapenda kupate mwafaka maana wengn tunatoka familia masikini
Pili, funguo la kujitolea Kwa hospital, vituo vya Afya n.k lipo kweli maana kila tukijaliribu kujitolea tunaambiwa kila kitu titajitegemea hakuna Hela ya kujikimu serikali inampango Gani? Kwa hilo?
Je, serikali Ina mikakati gani? Maana huu ni mwa wa Saba na intake ya 8 Toka ianzishwe pia serikali tunapenda kupate mwafaka maana wengn tunatoka familia masikini
Pili, funguo la kujitolea Kwa hospital, vituo vya Afya n.k lipo kweli maana kila tukijaliribu kujitolea tunaambiwa kila kitu titajitegemea hakuna Hela ya kujikimu serikali inampango Gani? Kwa hilo?