TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Lema aliibua hoja ya msingi sana ambayo wahuni wameifunika katika propaganda nyepesi kwamba alisema kazi ya bodaboda ni laana.
Hilo ni kwa mtazamo wake, lakini kwa upande wangu mimi siwezi kuiita laana maana inalisha familia za watu, kusomesha na kujenga, ni ajira kama ajira nyingine.
Naishauri serikali itangaze dau vijana watoe mawazo yao ya ubunifu, tutapata namna bora ya kupunguza ajali na maafa mengine yatokanayo na bodaboda kwa kiasi kikubwa. Wasijifiche katika propaganda na kuacha hoja ya msingi.
Hakuna cha bure.
Hilo ni kwa mtazamo wake, lakini kwa upande wangu mimi siwezi kuiita laana maana inalisha familia za watu, kusomesha na kujenga, ni ajira kama ajira nyingine.
Naishauri serikali itangaze dau vijana watoe mawazo yao ya ubunifu, tutapata namna bora ya kupunguza ajali na maafa mengine yatokanayo na bodaboda kwa kiasi kikubwa. Wasijifiche katika propaganda na kuacha hoja ya msingi.
Hakuna cha bure.