Zuuzuuu zuzuuuuu bin ZwazwaaHii inanikera sana utakuta mtu hata mwezi februari huko au hata Machi bado mkikutana anakutakia ,,Heri ya mwaka mpya", binafsi naona Serikali ingesema mwisho wa Heri ya mwaka mpya iwe ni labda kwa mwezi Januari tu, na iliyobakia basi tusahau, ...
Mwezi mzima watu wanazidi kutakiana kheri ya mwaka mpya?? Hauko serious, binafsi naona siku tano baada ya mwaka mpya iwe mwisho ili watu wawe aware kuwa cku zinatembea na wachape kazi.Mwisho huwa ni Tar 31/30 January... Kwa mwaka huu itakuwa tar 31/1/2018...
Asante kwa taarifa...Nichumu Nibebike MWEZI JANUARY HAUJAWAH KUWA NA SKU 30, LAZIMA IWE 31
Unafikiri hapo Nani kama SIO serikali kutamkaAchana na mambo ya kila jambo ifanye serkali. Mwisho hata salam ya kawaida itaamuliwa na serkali
Inategemea na sehemu uliopo ila kama nyie wasukuma hizo ndo uwa tabia zenu..
Sisi Sio wasukuma bwana ni wananchiUnafikiri hapo Nani kama SIO serikali kutamka