Serikali itangaze tarehe 21/01/2025 kuwa siku ya mapumziko

Serikali itangaze tarehe 21/01/2025 kuwa siku ya mapumziko

Mbowe atapagawa asijue alie au acheke 😆😆😆😆 tunamshukia kama Mwewe.

 
Kweli Chawa hana Gamba wala Gwanda....; popote anapatikana.
 
Taifa zima tuwe mapumziko kufuatilia uchaguzi wa chama mwalimu wa demokrasia nchinj.
Naamini hata mama Samia atakuwa anafuatilia live na huenda atapiga simu kupongeza kupata darasa la namna ya kufanya uchaguzi.
 

Attachments

  • Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    202.2 KB · Views: 1
Taifa zima tuwe mapumziko kufuatilia uchaguzi wa chama mwalimu wa demokrasia nchinj.
Naamini hata mama Samia atakuwa anafuatilia live na huenda atapiga simu kupongeza kupata darasa la namna ya kufanya uchaguzi.
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.

Quote
 
Back
Top Bottom