SoC04 Serikali itengeneze mazingira ya raia kupata ajira za kudumu

SoC04 Serikali itengeneze mazingira ya raia kupata ajira za kudumu

Tanzania Tuitakayo competition threads

Save NUNDU

New Member
Joined
May 2, 2024
Posts
3
Reaction score
0
Tanzania tuitakayo ni lazima Serikali yetu itengeneze miundombinu ya raia wake kupata ajira ya kudumu na hilo litasaidia rushwa kupungua kama sio kuisha kabisa, mfano: katika familia ya watu 11 namaanisha baba, mama na watoto ni baba peke yake aliyeajiriwa huku watoto wamekuwa wakubwa na wanamtegemea baba kwa kila kitu, ili kukidhi mahitaji ya familia yake huku mshahara ukiwa ahutoshi ni lazima baba huyo atapokea rushwa pale kazini ili akidhi mahitaji ya watu 10 wanaomtegemea, lakini ajira ingekuwepo na katika watu 11 watu 9 wanayo ajira ndani ya familia moja na wanamsaidia baba kwa majumu ya familia baba asingelifikiria kupokea rushwa.
 
Upvote 2
Nah. Hilo lipo kwa mtu na mtu zaidi.

Unajua mahitaji kwa binadamu huwa hayaishi kamwe. Hata asipokiwa na wa kumtegemea anaweza weka lengo la 'takwa' kujenga ghorofa na bado akapokea rushwa kwa kujifanya 'muhitaji'.

Maslow pyramid of needs ni pana sana. Na bila nidhamu hatufiki🙅‍♂️
 
Bila shaka hushindani na mtu. Maana andiko lako ni jepesi mno.
 
Back
Top Bottom