Serikali itoe boom la mtaji kwa Wahitimu wanapomaliza chuo

Serikali itoe boom la mtaji kwa Wahitimu wanapomaliza chuo

New Eyes

Member
Joined
Feb 2, 2022
Posts
5
Reaction score
4
Serikali ingefanya mpango wa kuwapa boom la mtaji kwa wanohitimu vyuo vikuu. Baada ya graduation graduates wote wapewe boom la kwenda kuwasaidia kuanzia maisha mtaani.

Hii ingesaidia kujiajiri kwa vijana punde baada ya kurudi mtaani.
 
Serikali ingefanya mpango wa kuwapa boom la mtaji kwa wanohitimu vyuo vikuu. Baada ya graduation graduates wote wapewe boom la kwenda kuwasaidia kuanzia maisha mtaani.

Hii ingesaidia kujiajiri kwa vijana punde baada ya kurudi mtaani.
Ulipigia kura chama gani??
 
Back
Top Bottom