Serikali itoe Ngao ya Uzalendo na Ushujaa uliotukuka kwa Simba S. C. Na pia lifanyike hili

Serikali itoe Ngao ya Uzalendo na Ushujaa uliotukuka kwa Simba S. C. Na pia lifanyike hili

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.

Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania.

Sasa mwakani Tanzania tunaingiza Team 4 CAF. Yanga na Azam kwa sasa wanaanza tu kujipanga kwa Mashindano yajayo. Kiulaini tu wanaenda. Baba kashatengeneza njia. Mama,Watoto wanafuata.

Kwa kweli nashauri majina ya wachezaji hawa yaandikwe kwenye Mnara wa Mashujaa, Wazalendo kweli kweli. Haya majina yaandikwe kwa dhahabu ili na team nyingine ziweke Utanzania kwanza.

Simba ni mashujaa pamoja na kuwepo Makaburu ndani ya nchi ambao hawakupenda ona Mafanikio ya Te hii ila imeweza shida maadui wa ndani na nje.

Kwa kweli tukiweka ushabiki pembeni ,unazi,unafiki,husda,kijicho,chuki,wivu,uchawi na roho mbaya. Tutakubaliana Simba ni Baba Lao.
 
Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.

Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania.

Sasa mwakani Tanzania tunaingiza Team 4 CAF. Yanga na Azam kwa sasa wanaanza tu kujipanga kwa Mashindano yajayo. Kiulaini tu wanaenda. Baba kashatengeneza njia. Mama,Watoto wanafuata.

Kwa kweli nashauri majina ya wachezaji hawa yaandikwe kwenye Mnara wa Mashujaa, Wazalendo kweli kweli. Haya majina yaandikwe kwa dhahabu ili na team nyingine ziweke Utanzania kwanza.

Simba ni mashujaa pamoja na kuwepo Makaburu ndani ya nchi ambao hawakupenda ona Mafanikio ya Te hii ila imeweza shida maadui wa ndani na nje.

Kwa kweli tukiweka ushabiki pembeni ,unazi,unafiki,husda,kijicho,chuki,wivu,uchawi na roho mbaya. Tutakubaliana Simba ni Baba Lao.
Wabebe kombe ndio wapewe pongezi, wachezaji wa Simba ndio waliitoa Taifa Stars.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Makapi yataanza kutenganishwa na ngano kuanzia robo fainali!
Huu utabiri ulianzia mbali sana. Wivu ,roho chafuh🦍,husda na chuki zinawatesa sana. Mbebaki na labda, labda. Wenzio wanafikia hatua wanakubali. Wewe endelea kuteseka tu. Ila ndo kubebwa mnabebwa.
 
Jitahid upafikie kama unazan kila timu inaweza kupafikia. Robo fainali unaitaja kizeeembe utazan kazi ndogo. Ikitokea mtu akaniita uto nitapigana siku nzima
Kwenye robo fainali nakuhakikishia kuwa ponopono atabadilika kuwa konokono!😁😁😁
 
Njonzi njema
IMG-20210402-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom