Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mkuu sidhani kama kuna Mtanzania ambae hataki timu kutoka Tanzania ichukue kombe,huyo atakuwa na matatizo ya akili labda.Kwa hatua ambayo Simba imefikia natamani na ninawaombea wachukue kombe.Simba ni miongoni mwa timu 8 bora kati ya timu zaidi ya milioni moja barani afrika
Mbona hawa hawa Mbumbumbu walifika semi-final 1973 kwenye mashindano haya haya lakini hakukuwa na drama kama hizi?Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.
Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania.
Sasa mwakani Tanzania tunaingiza Team 4 CAF. Yanga na Azam kwa sasa wanaanza tu kujipanga kwa Mashindano yajayo. Kiulaini tu wanaenda. Baba kashatengeneza njia. Mama,Watoto wanafuata.
Kwa kweli nashauri majina ya wachezaji hawa yaandikwe kwenye Mnara wa Mashujaa, Wazalendo kweli kweli. Haya majina yaandikwe kwa dhahabu ili na team nyingine ziweke Utanzania kwanza.
Simba ni mashujaa pamoja na kuwepo Makaburu ndani ya nchi ambao hawakupenda ona Mafanikio ya Te hii ila imeweza shida maadui wa ndani na nje.
Kwa kweli tukiweka ushabiki pembeni ,unazi,unafiki,husda,kijicho,chuki,wivu,uchawi na roho mbaya. Tutakubaliana Simba ni Baba Lao.
Hahahhahaha hujakosea mkuuBaba - Simba
Mama - Yanga
Watoto - Azam, kmc, namungo....
Hapa nimekuelewa mleta mada
Lamba limao.....litakusaidia.Mbona hawa hawa Mbumbumbu walifika semi-final 1973 kwenye mashindano haya haya lakini hakukuwa na drama kama hizi?
Nakumbuka pia kuna mwaka walishafika quarter final, no drama. Hata watani wao Vyura nao walishafika quarter final I think twice - no drama.
Tuache drama za kimagufuli - he's dead now, dude!
Mashabiki wa hizi timu 2 kwenye generation hii wamekuwa maandazi na malimbukeni!Lamba limao.....litakusaidia.
Lamba limao litakusaidia.Mashabiki wa hizi timu 2 kwenye generation hii wamekuwa maandazi na malimbukeni!