Serikali itoe tamko kubatilisha mabango ya matusi Mwanza, la sivyo ni ruksa kwa tamko halali la Mkuu wa Mkoa

Serikali itoe tamko kubatilisha mabango ya matusi Mwanza, la sivyo ni ruksa kwa tamko halali la Mkuu wa Mkoa

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Chalamila alitoa ruksa kwamba tunaweza kubeba mabango kumkaribisha Raisi na kuandika chochote, hata tusi. Chalamila kaondolewa, lakini sijasikia serikali ikibatilisha tamko hili la ruksa.

Nadhani busara zitumike, na batilisho litolewe. La sivyo mkiona bango langu lina matusi ya nguoni tusilaumiane.
 
Tuliambiwa mabango ruksa,hatukuambiwa yawe ya aina gani na yaandikwe nini mkuu, tusioneane tu.
 
Lazima tuelezane, uhuru wa kujieleza unaotetewa kikatiba unaishia wapi, na matusi yanayokatazwa yanaanzia wapi.

Ili tunapotaka kuzuia matusi, tuszuie uhuru wa kujieleza unaotetewa kikatiba.

Na kama matusi yanakatazwa, je, maneno yasiyo matusi yanakubalika?

Maana kuna habari rais hataki mabango yoyote.
 
Lazima tuelezane, uhuru wa kujieleza unaotetewa kikatiba unaishia wapi, na matusi yanayokatazwa yanaanzia wapi.

Ili tunapotaka kuzuia matusi, tuszuie uhuru wa kujieleza unaotetewa kikatiba.

Na kama matusi yanakatazwa, je, maneno yasiyo matusi yanakubalika?

Maana kuna habari rais hataki mabango yoyote.
Usjalibu kina Cha maji kwa miguu yako tusi ni jinai Sio madai ndugu utafungwa
 
Chalamila alitoa ruksa kwamba tunaweza kubeba mabango kumkaribisha Raisi na kuandika chochote, hata tusi. Chalamila kaondolewa, lakini sijasikia serikali ikibatilisha tamko hili la ruksa.

Nadhani busara zitumike, na batilisho litolewe. La sivyo mkiona bango langu lina matusi ya nguoni tusilaumiane.
Chadema walifanya editing kwenye maneno ya Chalamila, mama akajaa akamtbua
 
Chadema walifanya editing kwenye maneno ya Chalamila, mama akajaa akamtbua
Ivi Hawa chadema ni kinanani kila kitu ni chadema maendeleo wamechelewesha wao Lisa la mtu mwingine ni wao huko ni kukosea heshima mmlaka kana kwamba hawana uwezo wa kutambua wanapotoshwa na chadema na wao wanakubali Sio haki tutumie vidole vyeti kushauri vyema sio wakati wa kutupiana lawama
 
Chalamila alitoa ruksa kwamba tunaweza kubeba mabango kumkaribisha Raisi na kuandika chochote, hata tusi. Chalamila kaondolewa, lakini sijasikia serikali ikibatilisha tamko hili la ruksa.
Kauli ilikuwa ya kijinga ndiyo maana serikali imemfagia aliyesema na ameondoka na uchafu wake, serikali kuendelea kutoa matamko kwa mambo ya kipumbavu ni sawa kumshika aliyejinyea na mavi yake
 
Kauli ilikuwa ya kijinga ndiyo maana serikali imemfagia aliyesema na ameondoka na uchafu wake, serikali kuendelea kutoa matamko kwa mambo ya kipumbavu ni sawa kumshika aliyejinyea na mavi yake
Nakusoma Mkuu. Ila sasa, kama serikali haitakuwa inabatilisha matamko ya kipumbavu tunaweza kuwa tunaishi na matamko mengi tu ya kipumbavu bila kujua!
 
Usjalibu kina Cha maji kwa miguu yako tusi ni jinai Sio madai ndugu utafungwa
Mimi nauliza tusi ni lipi na lisilo tusi lipi.

Wewe unaniambia tusi ni jinai si madai.

Ama hujaelewa swali, ama una hila.

Yote majanga.
 
Ivi Hawa chadema ni kinanani kila kitu ni chadema maendeleo wamechelewesha wao Lisa la mtu mwingine ni wao huko ni kukosea heshima mmlaka kana kwamba hawana uwezo wa kutambua wanapotoshwa na chadema na wao wanakubali Sio haki tutumie vidole vyeti kushauri vyema sio wakati wa kutupiana lawama
Mkuu hawa watu mara nyingine wanatania tu, sidhani kama yuko serious kwamba Chadema wali-edit, maana kama anaamini vitu kirahisi hivyo unaweza kumwambia mimi baba yako akaamini na kumgeuka baba yake wa kweli kuanzia siku hiyo!
 
Nakusoma Mkuu. Ila sasa, kama serikali haitakuwa inabatilisha matamko ya kipumbavu tunaweza kuwa tunaishi na matamko mengi tu ya kipumbavu bila kujua!
Kitendo cha kumfukuza kazi RayC ni tamko tosha kuwa serikali haijafurahishwa na ujunga wake
 
Back
Top Bottom