Serikali itoe ufafanuzi kwanini kuna watu waliostahili kupata daraja jipya hawajapata

Serikali itoe ufafanuzi kwanini kuna watu waliostahili kupata daraja jipya hawajapata

Mangungo II

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
18,133
Reaction score
26,766
Naaam,

Kwa taarifa nilizonazo sio wote waliostahili daraja jipya la mshahara wamepata.

Kuna kundi kubwa la watu wametoka bila bila

Serikali itoe ufanunuzi kwanini hao wengine wamewekwa reserve.

Je, watapanda lini?

Na je, hamuoni mnatengeneza tatizo jipya la malimbikizo huku mkitatua la awali?

Tunaomba ufafanuzi tafadhali.
 
Hebu weka takwimu! Asilimia ngapi wamepata na ngapi wamekosa!
 
Kwakweli Sina tamwimu sahihi

Ila Nina watu Kama wawili hivi nawajua hawajapata hizo new digits
Sasa Mkuu watu wawili ndio unasema watu wengi hawajapata?

Tuwe na subira! Roma haikujengwa siku moja! Yaliyomshinda Mwendazake kwa miaka 6 mama yetu anayatatua kwa muda mfupi mno! Yaani ni kufumba na kufumbua tu!

Subira yavuta kheri Mkuu!
 
Sasa Mkuu watu wawili ndio unasema watu wengi hawajapata?

Tuwe na subira! Roma haikujengwa siku moja! Yaliyomshinda Mwendazake kwa miaka 6 mama yetu anayatatua kwa muda mfupi mno! Yaani ni kufumba na kufumbua tu!

Subira yavuta kheri Mkuu!
Mkuu just Kuna kundi kubwa tu hao wawili Ni specimen tu.

Ufafanuzi utolewe Ni Jambo la msingi maana naamini sio wote wamepata Hilo daraja jipya
 
Lakini wahusika walilitolea ufafanuzi Hadi ikarushwa chanel ten majuz!Kwamba uzembe wa kwanza ulisababishwa na maafisa utumishi na hivyo kutokufanikiwa kuwapandisha watumishi wote kwa wakati

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Idara ya Elimu wamepanda walio ajiliwa 2014 pekee,, wengine hakuna kitu!.. na kwa Sisi wilaya yetu wote 2014 na 2015 tulipewa barua ya kupanda daraja, na ikielekeza itakua effective from 01.06.2021
 
Idara ya Elimu wamepanda walio ajiliwa 2014 pekee,, wengine hakuna kitu!.. na kwa Sisi wilaya yetu wote 2014 na 2015 tulipewa barua ya kupanda daraja, na ikielekeza itakua effective from 01.06.2021
Aisee
 
Idara ya Elimu wamepanda walio ajiliwa 2014 pekee,, wengine hakuna kitu!.. na kwa Sisi wilaya yetu wote 2014 na 2015 tulipewa barua ya kupanda daraja, na ikielekeza itakua effective from 01.06.2021
Aisee Ni noma
 
Walau matumaini yapo, haki itapatikana japo inawezekana isiwe kwa wakati ila itapatikana.....
Otherwise ingekua ni "asietaka aache kazi"
 
Naaam,

Kwa taarifa nilizonazo sio wote waliostahili daraja jipya la mshahara wamepata.

Kuna kundi kubwa la watu wametoka bila bila

Serikali itoe ufanunuzi kwanini hao wengine wamewekwa reserve.

Je, watapanda lini?

Na je, hamuoni mnatengeneza tatizo jipya la malimbikizo huku mkitatua la awali?

Tunaomba ufafanuzi tafadhali.
Kuna mfumo unakuja kwa jina la ongea na waziri huenda ikasaidia kutazama upya haya mapungufu
 
Naaam,

Kwa taarifa nilizonazo sio wote waliostahili daraja jipya la mshahara wamepata.

Kuna kundi kubwa la watu wametoka bila bila

Serikali itoe ufanunuzi kwanini hao wengine wamewekwa reserve.

Je, watapanda lini?

Na je, hamuoni mnatengeneza tatizo jipya la malimbikizo huku mkitatua la awali?

Tunaomba ufafanuzi tafadhali.
1624610197682.png
 
kuna ubaguzi mkubwa sana kwenye kupandisha madaraja
 
Sasa Mkuu watu wawili ndio unasema watu wengi hawajapata?

Tuwe na subira! Roma haikujengwa siku moja! Yaliyomshinda Mwendazake kwa miaka 6 mama yetu anayatatua kwa muda mfupi mno! Yaani ni kufumba na kufumbua tu!

Subira yavuta kheri Mkuu!
Bado watumishi wengi tu hawapata mishahara mipya pamoja ba kujaza OPRAS
 
Back
Top Bottom