YEHODAYA JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 36,902 Reaction score 52,001 Jun 10, 2022 #1 Serikali itoe ufafanuzi taratibu za Mtanzania kununua bonds za nchi zingine za EAC na SADC imetuacha gizani Utaratibu ukoje. Mfano nataka kununua bond za Afrika kusini au Kenya nikiwa Tanzania
Serikali itoe ufafanuzi taratibu za Mtanzania kununua bonds za nchi zingine za EAC na SADC imetuacha gizani Utaratibu ukoje. Mfano nataka kununua bond za Afrika kusini au Kenya nikiwa Tanzania
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,600 Reaction score 35,158 Jun 11, 2022 #2 YEHODAYA said: Serikali itoe ufafanuzi taratibu za Mtanzania kununua bonds za nchi zingine za EAC na SADC imetuacha gizani Utaratibu ukoje. Mfano nataka kununua bond za Afrika kusini au Kenya nikiwa Tanzania Click to expand... Serikali ya CCM unayo ishabikia humu jukwaani ndio imeharibu hii nchi! Hata Paypal tu ukiwa bongo haikubali! 2025 kataa ccm lasivyo utaendelea kulia lia tu.
YEHODAYA said: Serikali itoe ufafanuzi taratibu za Mtanzania kununua bonds za nchi zingine za EAC na SADC imetuacha gizani Utaratibu ukoje. Mfano nataka kununua bond za Afrika kusini au Kenya nikiwa Tanzania Click to expand... Serikali ya CCM unayo ishabikia humu jukwaani ndio imeharibu hii nchi! Hata Paypal tu ukiwa bongo haikubali! 2025 kataa ccm lasivyo utaendelea kulia lia tu.