Serikali itoze faini wote wanaogundulika kuwa na magonjwa ya zinaa

KACHINJA

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
1,263
Reaction score
869
Wakuu nina hoja fulani muhimu,

Serikali ifikirie kutoza faini kwa yeyote atakayekwenda hospitali akagundulika ana ugonjwa/magonjwa ya zinaa. Hii itasaidia kupunguza magonjwa hayo kwani watu watajilinda.

Ni maoni tu
 
Wakuu nina hoja fulani muhimu,

Serikali ifikirie kutoza faini kwa yeyote atakayekwenda hospitali akagundulika ana ugonjwa/magonjwa ya zinaa. Hii itasaidia kupunguza magonjwa hayo kwani watu watajilinda.

Ni maoni tu
Unafikiri watu wataacha kuzini? Sanasana utawapoteza wengi
 
Hujui Raha ya kutiana wewe, Hosp nako mapato yatayumba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…