Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Gharama zinazotumika kukarabati uwanja wa mkapa kwa ajili ya mechi ya ufunguzi baina ya mnyama vs Al Alhy zingeweza kujenga madarasa au kununua madawa hospitalini au kujenga zahanati hata 30 lakini zimepelekwa pale kwa mkapa.
Kuna wajinga huwa sio binadamu wa kawaida, siku ya ufunguzi watakwenda vyooni kuharibu masinki, kuna watakaoharibu mazingira vyooni kwa makusudi, kuna watu watakanyaga viti ali mradi tu uwanja uharibike.
Ushauri wangu kwa serikali.
1. Elimu itolewe kwenye vyombo vyote vya habari kuhusu umuhimu wa kuutunza uwanja huo.
2.Kamera zifungwe hadi vyooni ili wachafuzi na waharibu mazingira wabainike
3.Sheria itungwe ili kwa atakayebainika adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
Kuna wajinga huwa sio binadamu wa kawaida, siku ya ufunguzi watakwenda vyooni kuharibu masinki, kuna watakaoharibu mazingira vyooni kwa makusudi, kuna watu watakanyaga viti ali mradi tu uwanja uharibike.
Ushauri wangu kwa serikali.
1. Elimu itolewe kwenye vyombo vyote vya habari kuhusu umuhimu wa kuutunza uwanja huo.
2.Kamera zifungwe hadi vyooni ili wachafuzi na waharibu mazingira wabainike
3.Sheria itungwe ili kwa atakayebainika adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.