Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Wizara ya Sanaa, tamaduni na michezo. Hivi mna mawazo Gani kuenzi na kutambua mchango wa mziki wa Dansi na watunzi wake?
Kwa ujumla Muziki wa zamani umechangia sana kukuza utamaduni wa kitanzania na lugha ya kiswahili lakini sijawahi kusikia mikakati ya wizara kuenzi na kutambua mchango wa wazalendo hao kama jabali la Muziki kama Marijani Rajab, Mbaraka mwinshehe, Zahir Ally Zoro,Hemed Maneti, Patric Pama Balisidya, Juma Kilaza, Maestro King Kiki.
Na wengine wengi. Kwa nini kusiwe na Maktaba ya Muziki wa Dansi Ili kuifanya Sanaa idumu vizazi na vizazi. Leo hii Kuna watu hawatambui chimbuko na Historia ya Sanaa ya Muziki wa Tanzania. Serikali Ienzi Historia ya Sanaa hii isipotee.
Kwa ujumla Muziki wa zamani umechangia sana kukuza utamaduni wa kitanzania na lugha ya kiswahili lakini sijawahi kusikia mikakati ya wizara kuenzi na kutambua mchango wa wazalendo hao kama jabali la Muziki kama Marijani Rajab, Mbaraka mwinshehe, Zahir Ally Zoro,Hemed Maneti, Patric Pama Balisidya, Juma Kilaza, Maestro King Kiki.
Na wengine wengi. Kwa nini kusiwe na Maktaba ya Muziki wa Dansi Ili kuifanya Sanaa idumu vizazi na vizazi. Leo hii Kuna watu hawatambui chimbuko na Historia ya Sanaa ya Muziki wa Tanzania. Serikali Ienzi Historia ya Sanaa hii isipotee.