Serikali iunde Taasisi ya kutunga na kusahihisha Mitihani ya Vyuo vya elimu ya Juu, Rushwa ya Ngono Imeshika kasi

Serikali iunde Taasisi ya kutunga na kusahihisha Mitihani ya Vyuo vya elimu ya Juu, Rushwa ya Ngono Imeshika kasi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake.

Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo. Serikali iunde taasisi mfano NECTA itakayo tunga na kusimamia matokeo ya wanachuo nchi nzima.

Mitihani ya darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, cha nne na cha sita mitihani inalindwa kwa mtutu wa bunduki na TISS . Inakuaje mitihani ya vyuo vya elimu ya juu serikali imewaachia watu fulani kutumia nafasi hizo kutobolea wasichana na kuwadhalilisha?

Rais tuliye naye ni asaidie kutatua changamoto hii hali mi mbaya vyouni.
 
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake. Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo. Serikali iunde taasisi mfano NECTA itakayo tunga na kusimamia matokeo ya wanachuo nchi nzima. Mitihani ya darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, cha nne na cha sita mitihani inalindwa kwa mtutu wa bunduki na TISS . Inakuaje mitihani ya vyuo vya elimu ya juu serikali imewaachia watu fulani kutumia nafasi hizo kutobolea wasichana na kuwadhalilisha? Rais tuliye naye ni asaidie kutatua changamoto hii hali mi mbaya vyouni.
Mfumo huu unaoupendekeza unatumika nchi gani duniani?Dunia nzima utaratibu wa mifumo ya UE upo hivyo, tujiulize tu kwanini huko kwingine matukio sio mengi(Sina data) halafu Tz yanashika kasi?

Kuweka tu mfumo rahisi wa kuwabaini hawa kelbu na kuongeza adhabu ndiyo suluhisho na sio kujiwekea mfumo tofauti na dunia nzima.
 
Vibinti vinaja joto ya jiwe huko bongo kwenye vyuo mkuu
 
Hilo haliwezekani labda Kama una option B
 
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake.

Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo. Serikali iunde taasisi mfano NECTA itakayo tunga na kusimamia matokeo ya wanachuo nchi nzima.

Mitihani ya darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, cha nne na cha sita mitihani inalindwa kwa mtutu wa bunduki na TISS . Inakuaje mitihani ya vyuo vya elimu ya juu serikali imewaachia watu fulani kutumia nafasi hizo kutobolea wasichana na kuwadhalilisha?

Rais tuliye naye ni asaidie kutatua changamoto hii hali mi mbaya vyouni.
NYAMAZENI Kimyaaaaaa.....

Hawa ni watu wazima......
WAMEKUBALIANA........

(Amesema mwenyekiti wa chadema taifa)
CCM OYEEEEEEE
 
umeona wapi kokote duniani SEMESTER SYSTEM ikawa na mtihani wa taifa?
Kwani semister system haifai kufutwa? Wanaokopeshwa mikopo na serikali mikopo hiyo bora wangekopeshwa wafungaji ili tupate nyama na maziwa .
 
Kwani semister system haifai kufutwa? Wanaokopeshwa mikopo na serikali mikopo hiyo bora wangekopeshwa wafungaji ili tupate nyama na maziwa .
Napata mashaka na mawazo yako mkuu, hivi unafikiria vijana wasioweza kujisomesha hatima yao itakuwa nini? Mfumo huo hauwezi kufutwa ni international standard. Suala la walimu kuhitaji ngono kwa wanafunzi linadhibitika ni ushirikiano wa wanafunzi na taasisi husika.
 
Mabinti chuon wanaongoza kupenda UTAMU.Acha wachakazwe mbunye zao.
 
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake.

Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo. Serikali iunde taasisi mfano NECTA itakayo tunga na kusimamia matokeo ya wanachuo nchi nzima.

Mitihani ya darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, cha nne na cha sita mitihani inalindwa kwa mtutu wa bunduki na TISS . Inakuaje mitihani ya vyuo vya elimu ya juu serikali imewaachia watu fulani kutumia nafasi hizo kutobolea wasichana na kuwadhalilisha?

Rais tuliye naye ni asaidie kutatua changamoto hii hali mi mbaya vyouni.
Kwenye tatizo hili ambalo linaelekea kuota sugu, naomba niteuliwe niwe msaidizi wa wakuu wote wa vyuo vyote vyenye matatiizo ya aina hii, halafu nipewe muda ambao si zaidi ya miaka miwili. Sihitaji malipo ya nyongeza katika hili; mshahara nilionao tayari unanitosha. Halafu baada ya muda huo wa-Tanzania wanifanyie assessment kuona kama niko effective ama la!
 
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake.

Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo.
Aisee pole kama yamekukuta, ila unaweza kuona wabinti ndowanataka wenyewe halafu mnazingizia Wahadhiri!
 
Back
Top Bottom