Serikali iunde Taasisi ya Usimamizi na Ukaguzi kwa Watumishi wa Umma. Hii PEPMIS tunawekeana 90% maisha yanakwenda, hakuna mabadiliko ofisi za umma

Serikali iunde Taasisi ya Usimamizi na Ukaguzi kwa Watumishi wa Umma. Hii PEPMIS tunawekeana 90% maisha yanakwenda, hakuna mabadiliko ofisi za umma

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Nikiwa kwenye corridor za umma takribani miaka 10 sasa nimejionea uzembe wa kiwango kikubwa sana. Watumishi wengi wa umma maadamu mshahara wao ni lazima wapate kila mwezi na posho zipo palepale basi watumishi hawataki usumbufu kabisa. Hata ubunifu hakuna.

Unakuta ofisi leo inaomba taarifa za watumishi kama NAMBA ya NIDA, TIN NUMBER au check number, baada ya miezi 6 unasikia tena ofisi inaomba TIN NUMBER au NAMBA ya NIDA, unaanza kujiuliza hivi ofisi ya ma HR au IT wanafanya kazi gani kama kutunza taarifa jumuishi za watumishi imekuwa kazi kubwa kwao?

Sio ajabu ofisi ya umma imehama mahali miezi 6 imepita lakini ukiingia google map taarifa hazijabalishwa,
Kuna ofisi moja ya umma nilipiga namba yao ya simu akapokea raia wala haijui hiyo ofisi na nilipomuhoji akasema mara nyingi tu hupigiwa simu na watu wakidhani ni namba ya ofisi hiyo ya serikali.

Mambo mengi yako shaghalabaghala, mpaka wasikie wakaguzi wanakuja ndipo kila mtumishi anaanza kusafisha njia yake. Serikali ingeingiza mfumo wa GAIN AS YOU EARN, watumishi walipwe si kwa cheo bali kwa maingizo waliyoyafanya lakini hili naona ni gumu maana kuna taasisi hazifanyi biashara au uzalishaji wowote.
Dawa ni kuunda TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Kila mkoa iwepo ofisi, watumishi wa taasisi ya USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA watakuwa wanapita kukagua majukumu na utekelezaji wa majukumu kwa watumishi wa umma. Haya mambo ya PEPMIS tunayajaza tunapeana 90% maisha yanakwenda.
 
Una hoja lakini.. utatengeneza mianya ya Rushwa na matumizi ya pesa zaidi. Just imagine watu watembelee shule, hosp, taasisi, wizara mikoa, halmashauri etc zote.. kwa per diem na posho ya kazi maalum itawezekana? Pesa itafujwa.

Kingine tyr mfumo ushakula hela ya kutosha. Tukubali kumod utaratibu wa kupeana marks. Hata Opras was the same.

Pia huu mfumo umelenga zaidi wale watumishi vichomi ambao hawapo serious kbs. Wewe una unafuu kuna watu aisee ni vichomi na wanaliwa vichwa hasa.
 
Labda mfumo wa upimaji uwe tofauti tofauti kutokana na sector husika, Mfano Mwalimu WA chuo awe na mfumo tofauti na mtu wa Kada ya forest. Na wakuu wa vitengo wafanye kazi zao ipasavyo.
 
Dawa ni kuunda TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Kila mkoa iwepo ofisi, watumishi wa taasisi ya USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA watakuwa wanapita kukagua majukumu na utekelezaji wa majukumu kwa watumishi wa umma. Haya mambo ya PEPMIS tunayajaza tunapeana 90% maisha yanakwenda.
Andiko zuri sana,
Kuunda hiyo taasisi ni wazo zuri,
lakini bado na taasisi yenyewe itakuwa na watumishi wenye sifa zile zile.
 
Hello!

Nikiwa kwenye corridor za umma takribani miaka 10 sasa nimejionea uzembe wa kiwango kikubwa sana. Watumishi wengi wa umma maadamu mshahara wao ni lazima wapate kila mwezi na posho zipo palepale basi watumishi hawataki usumbufu kabisa. Hata ubunifu hakuna.

Unakuta ofisi leo inaomba taarifa za watumishi kama NAMBA ya NIDA, TIN NUMBER au check number, baada ya miezi 6 unasikia tena ofisi inaomba TIN NUMBER au NAMBA ya NIDA, unaanza kujiuliza hivi ofisi ya ma HR au IT wanafanya kazi gani kama kutunza taarifa jumuishi za watumishi imekuwa kazi kubwa kwao?

Sio ajabu ofisi ya umma imehama mahali miezi 6 imepita lakini ukiingia google map taarifa hazijabalishwa,
Kuna ofisi moja ya umma nilipiga namba yao ya simu akapokea raia wala haijui hiyo ofisi na nilipomuhoji akasema mara nyingi tu hupigiwa simu na watu wakidhani ni namba ya ofisi hiyo ya serikali.

Mambo mengi yako shaghalabaghala, mpaka wasikie wakaguzi wanakuja ndipo kila mtumishi anaanza kusafisha njia yake. Serikali ingeingiza mfumo wa GAIN AS YOU EARN, watumishi walipwe si kwa cheo bali kwa maingizo waliyoyafanya lakini hili naona ni gumu maana kuna taasisi hazifanyi biashara au uzalishaji wowote.
Dawa ni kuunda TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Kila mkoa iwepo ofisi, watumishi wa taasisi ya USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA watakuwa wanapita kukagua majukumu na utekelezaji wa majukumu kwa watumishi wa umma. Haya mambo ya PEPMIS tunayajaza tunapeana 90% maisha yanakwenda.
Hiyo TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA na yenyewe itakua na watumishi Goi goi, Hulka ya tanzania inajulikana ni kubishana simba na yanga, siasa, umbea, kucheza na simu ukiwa ofisini na kwenda Lunch au Breakfast masaa mawili mazima.
 
Hello!

Nikiwa kwenye corridor za umma takribani miaka 10 sasa nimejionea uzembe wa kiwango kikubwa sana. Watumishi wengi wa umma maadamu mshahara wao ni lazima wapate kila mwezi na posho zipo palepale basi watumishi hawataki usumbufu kabisa. Hata ubunifu hakuna.

Unakuta ofisi leo inaomba taarifa za watumishi kama NAMBA ya NIDA, TIN NUMBER au check number, baada ya miezi 6 unasikia tena ofisi inaomba TIN NUMBER au NAMBA ya NIDA, unaanza kujiuliza hivi ofisi ya ma HR au IT wanafanya kazi gani kama kutunza taarifa jumuishi za watumishi imekuwa kazi kubwa kwao?

Sio ajabu ofisi ya umma imehama mahali miezi 6 imepita lakini ukiingia google map taarifa hazijabalishwa,
Kuna ofisi moja ya umma nilipiga namba yao ya simu akapokea raia wala haijui hiyo ofisi na nilipomuhoji akasema mara nyingi tu hupigiwa simu na watu wakidhani ni namba ya ofisi hiyo ya serikali.

Mambo mengi yako shaghalabaghala, mpaka wasikie wakaguzi wanakuja ndipo kila mtumishi anaanza kusafisha njia yake. Serikali ingeingiza mfumo wa GAIN AS YOU EARN, watumishi walipwe si kwa cheo bali kwa maingizo waliyoyafanya lakini hili naona ni gumu maana kuna taasisi hazifanyi biashara au uzalishaji wowote.
Dawa ni kuunda TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Kila mkoa iwepo ofisi, watumishi wa taasisi ya USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA watakuwa wanapita kukagua majukumu na utekelezaji wa majukumu kwa watumishi wa umma. Haya mambo ya PEPMIS tunayajaza tunapeana 90% maisha yanakwenda.
Mitandao siyo imara inaachia taarifa hivyo tunahitaji Starink waje au tuwe na country setlite
 
Itakuwa ni ngumu kwa serikali kufanya hivyo maana kwa sehemu nyingine serikali haitimizi wajibu wake kwa watumishi ipasavyo. Utaanza vipi kumfuatilia mtu utendaji wake ikiwa mtu anastress za made ni mengine yamechangiwa na kutokupewa stahiki zake kwa wakati kutoka serikalini ikiwemo malimbikizo ya mishahara.
 
Mleta mada shukrani kwa kuliona hili. Tatizo umeliona vyema, japo chanzo chake hujakitambua vyema ndio maana sikubaliana na suluhu uliyopendekeza.

Chanzo cha hayo yote ni utawala/serikali. Ndio maana suluhu yako naona haitatatua tatizo. Uozo wote huo chanzo chake ni utawala. Mfumo wa utawala unanufaika na huo uozo ndio maana hauleti mfumo wenye suluhu.

Acha tuzuge hapo PEPMIS kwanza
 
Hello!

Nikiwa kwenye corridor za umma takribani miaka 10 sasa nimejionea uzembe wa kiwango kikubwa sana. Watumishi wengi wa umma maadamu mshahara wao ni lazima wapate kila mwezi na posho zipo palepale basi watumishi hawataki usumbufu kabisa. Hata ubunifu hakuna.

Unakuta ofisi leo inaomba taarifa za watumishi kama NAMBA ya NIDA, TIN NUMBER au check number, baada ya miezi 6 unasikia tena ofisi inaomba TIN NUMBER au NAMBA ya NIDA, unaanza kujiuliza hivi ofisi ya ma HR au IT wanafanya kazi gani kama kutunza taarifa jumuishi za watumishi imekuwa kazi kubwa kwao?

Sio ajabu ofisi ya umma imehama mahali miezi 6 imepita lakini ukiingia google map taarifa hazijabalishwa,
Kuna ofisi moja ya umma nilipiga namba yao ya simu akapokea raia wala haijui hiyo ofisi na nilipomuhoji akasema mara nyingi tu hupigiwa simu na watu wakidhani ni namba ya ofisi hiyo ya serikali.

Mambo mengi yako shaghalabaghala, mpaka wasikie wakaguzi wanakuja ndipo kila mtumishi anaanza kusafisha njia yake. Serikali ingeingiza mfumo wa GAIN AS YOU EARN, watumishi walipwe si kwa cheo bali kwa maingizo waliyoyafanya lakini hili naona ni gumu maana kuna taasisi hazifanyi biashara au uzalishaji wowote.
Dawa ni kuunda TAASISI YA USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Kila mkoa iwepo ofisi, watumishi wa taasisi ya USIMAMIZI NA UKAGUZI KWA WATUMISHI WA UMMA watakuwa wanapita kukagua majukumu na utekelezaji wa majukumu kwa watumishi wa umma. Haya mambo ya PEPMIS tunayajaza tunapeana 90% maisha yanakwenda.
Ile Wizara ya UTUMISHI kwamba haina maana ama
 
Kwenye namba za simu za ofisi za serikali ni tatizo kubwa sana.

Website za taasisi za serikali ziko outdated, namba za simu hazipokelewi ama hazipatikani ama zilishabafilishwa zinatumiwa na watu wengine.

Ukija land line ndio balaa, nyingi haziungi kwa maelezo kutoka ttcl kwamba mmiliki hajalipia amekatiwa huduma.

Hua najiuliza hivi viongozi kama mawaziri ama makatibu wakuu ama wakurugenzi hua hawafanyi surprised calls kwenye namba za huduma kwa wateja wa wizara wao waone madudu? Namba zinawekwa kama bosheni.

NIDA wana namba zao za online calls, utapiga zote hata mara 200 xinaita tu hazipokelewi.

Ni changamoto sana.
 
Kwenye namba za simu za ofisi za serikali ni tatizo kubwa sana.

Website za taasisi za serikali ziko outdated, namba za simu hazipokelewi ama hazipatikani ama zilishabafilishwa zinatumiwa na watu wengine.

Ukija land line ndio balaa, nyingi haziungi kwa maelezo kutoka ttcl kwamba mmiliki hajalipia amekatiwa huduma.

Hua najiuliza hivi viongozi kama mawaziri ama makatibu wakuu ama wakurugenzi hua hawafanyi surprised calls kwenye namba za huduma kwa wateja wa wizara wao waone madudu? Namba zinawekwa kama bosheni.

NIDA wana namba zao za online calls, utapiga zote hata mara 200 xinaita tu hazipokelewi.

Ni changamoto sana.
Na mshahara plus posho wanalipwa daily.
Training daily
 
Kuna siku nilipita Ofisi za halmashauri moja hivi. Aise, Nilisikitika sana. Wafanyakazi wako very slow, ilikua ni saa nne hv wamejikusanya kusanya kunywa chai na kk kupiga story.

Nilie enda kuonana nae, nae yeye pamoja na ofisi yake wamechoka mbaya.

Nikasema du hapa ni bora liende.
 
Back
Top Bottom