peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kuna mahali nimepita, mazungumzo niliyo yakuta yakiongelewa kuhusu Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ninashauri iundwe tume huru kuchunguza kifo chake.
Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.
Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.